Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

hii anga nyeupe watu tumepita anga zilizo mezwa na moshi wa matairi yaliyo chomwa iwe anga hii

anga gani hizi babu wawa kachanuliwa msamba kaishia kushika mmeokolewa na mahaba ya refa.
Malalamiko FC kesho police wanawasubili kwa haaam
 
wawa kapigwa njano baada ya lumchezea rough mchezaji wa el merick
 
Aaah huu usenge sasa kubabake nini hiki
 
Hawa wadqanzi walijua penat macho yakawatoka slow motion imewaumbua
 
Daaah huyu pimbi angetuchomesha bora kocha kamtoa
 
Chama kazi yake sasa hivi uwanjani ni kushusha Tempo ya timu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…