Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

nitajie mchezaji mmoja ambaye amewahi kuwa kwenye form maisha. Messi na CR mwenyewe hawajawahi
Ni nadra ila wapo...niambie ni msimu gani CR au Messi hawajawahi kuwa form (uje na takwimu)..mbona unawatumia watu exceptional kuhalalsha utetezi wako..ungesema labda watu kama hazaard, na wengine sawa
 
Hawa jamaa wanataka goli kwa udi na uvumba simba waanze kupaki basi
 
Simba usiangushe Taifa.
Ili neno Visit Tanzania lisomeke vizuri
 
Mpira kipindi cha pili ndio huo unaanza
 
Kidonda chako bado kibichi hizi anga sio mahala sahihi kutafuta faraja
hii anga nyeupe watu tumepita anga zilizo mezwa na moshi wa matairi yaliyo chomwa iwe anga hii

anga gani hizi babu wawa kachanuliwa msamba kaishia kushika mmeokolewa na mahaba ya refa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…