Al-Qasam tawi la Hamas lashambulia kwa idadi ya Makombora Kadhaa mji wa Holon huko Isarel

Al-Qasam tawi la Hamas lashambulia kwa idadi ya Makombora Kadhaa mji wa Holon huko Isarel

Sun Zu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2022
Posts
636
Reaction score
1,819
Mji wa Holon huko Israel umepigwa kwa idadi ya Makombora kadhaa huku Al Qasam ambalo ni tawi la Hamas likithibitisha kuhusika na shambulio hilo.

Wakati huo huo inaripotiwa idadi ya makombora kadhaa kupiga sehemu za Tel Aviv yakitokea Gaza.

Haya yanajiri baada ya mwaka mmoja wa mapigano kati ya Jeshi la IDF la Israel na Wapiganaji wa Hamas wanaoiongoza Gaza, Palestine.

Hii inafuta kauli ya Jeshi la IDF iliyotoa miezi kadhaa iliyopita kwamba imemaliza kabisa uwezo wa Kijeshi wa Hamas na kwamba sio tishio tena

Source: Al Quds Network telegram channel
 

Attachments

  • VID_20241007_115651_589.mp4
    1.3 MB
Tuendelee kuiombea Israel...

israel_gay_pride1_wide-e9db615c11cfb1785dced7dcf4e6f6203718749f.jpg
 
Bado Hamas wako hai! Kama bado wameshikilia mateka kwa mwaka mzima bado ni homa kwa Israel.
 
Netanyahu Leo atakuwa anaona dabodabo kabla ajatoa utuba yake wahuni wamepeleka mauwa tel aviv so mkeka umechanika 🤣🤣🤣 akaandae mkeka mpya wakuwaambia wana waisrael fake. Kila lililokuwa na mwanzo alikosi mwisho Netanyahu atakumbukwa kwa mengi niishie apo.
 
UN is now a toothless dog under the control and supervision of the USA.
you aren't far from the truth, but the Chief Command of UN has been siding openly with hamas since the beginning of this war.
he is opposing US along other allies over Aiding Israel.
Guess, he does not suggest Israel is sincerely interested in a ceasefire.
 
Back
Top Bottom