Al-Shabaab militants ban residents from using smartphones!

Al-Shabaab militants ban residents from using smartphones!

Haya sasa! Mnaokomaa eti mnataka kuikomboa Tanzania oneni kwa wenzenu! Nchi yetu nzuri sana, basi tu, tunapigiwa makelele na ile saccos ya wapiga dili eti kila jambo ni baya humu nchini! Nendeni somalia na Iphone zenu muone chamoto!

vita ipo kila aina mjomba si umeona leo maduka yamefungwa kariakoo serikali wanampango kuwanyanyasa wafanyabiashara maskin Tz., kwani lazima ukatazwe kutumia iphone tu hizi nchi za afrika ni mashaka mashaka tu mkuu.,,
 
Bongo patamu sana aseee me sihami kamweee nani anayataka hayo...dah wadau wa JF wing la somalia ndo bye bye tena ahahahaaa! (Natania)

Subiri uje ufungiwe mashine ya TRA katika kabiashara kako., unyanyasaji upo kila aina hizi nchi za afrika mashaka matupu utahama tu.,
 
Back
Top Bottom