Al-Shabaab waitawala Kenya, wadaiwa kukusanya kodi kwa Wakenya

Al-Shabaab waitawala Kenya, wadaiwa kukusanya kodi kwa Wakenya

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
Pamoja na Vikosi vya Jeshi la ulinzi la kenya kuweweka Kambi nchini Somalia kwa takribani Muongo mmoja.

Juhudi zao zinaonekana kuwa ni Kazi bure badala yake ni upotevu wa Muda, pesa za walipakodi maskini wa Kenya pamoja na Vifo vingi sana vya Wakenya wasio na Hatia pamoja na mamia ya Wanajeshi wa KDF.

Hii inakuja baada ya Mamlaka za County ya Mandera kudai Kikundi hicho cha Kigaidi kushikilia na kukontrol 60% ya Kaunti hiyo.

Kwa sasa Al Shabaab Wanaonekana hadharani na Kuzurula kwa Uhuru kwenye County hiyo nchini Kenya na hakuna yeyote wa kuwagusa wala kuwauzia.

Wanakusanya Ushuru wa Mifugo kwa Wananchi kadiri watakavyo. Na wananchi wanalazimika kutii wakihofia maisha yao.

Mamlaka za County ya Mandela zadai huenda mbeleni kikundi hicho cha Kigaidi kikaitawala kabisa Kenya sababu kinazidi kupata Nguvu na ushawishi nchini Kenya.

 
Ila Kenya wanakwama maoni yangu hao jamaa wanaweza kupata nguvu na ushawishi mkubwa kama wataendlea ivyo baadhi ya vijana wanaweza kujiung hii itapelekea kukua kwa jeshi lao na kuzidi kutawala kenya maana jamaa nasikia wanapiga pesa na wana maslahi mazuri tu kwa wanajeshi wao
 
Ila kenya wanakwama maoni yangu hao jamaa wanaweza kupata nguvu na ushawishi mkubwa kama wataendlea ivyo baadhi ya vijana wanaweza kujiung hii itapelekea kukua kwa jeshi lao na kuzidi kutawala kenya maana jamaa nasikia wanapiga pesa na wana maslahi mazuri tu kwa wanajeshi wao
Kenya rushwa tupu hadi jeshini.

Imagine KDF officers wanapokea rushwa hadi kwa al Shabaab.


Screenshot_20210113-083451_Chrome.jpg
Screenshot_20210113-083442_Chrome.jpg
 
Sasa zile missile wanazojisifia nazo ziko wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu, ukisoma hii habari unagundua hawa jamaa wanapewa tu mavifaa ya msaada ili watimize malengo ya US wakati sio hitaji Leo la msingi, hitaji la Wanajeshi wa KDF wala sio Kenya maana wanajua fika kenya ni ya wenyewe ambao ni wazungu na vibaraka wao wakikuyu..

Kenya hakuna nchi, Bali genge la wahuni likiongozwa na mlevi na Mvuta bangi.
Screenshot_20210113-083451_Chrome.jpg
Screenshot_20210113-083442_Chrome.jpg
JamiiForums1239059731.jpg
 
Back
Top Bottom