Ana ushabiki wa kitoto Sana.Duh, haya ndiyo mambo faiza foxy anapenda
Hivi Kenya tatizo ni nini?, hii ni nchi ya ajabu sana.
hawa si wana jeshi imara? Eti wanapeleka wanajeshi haiti baada ya DRC! BTW tunaambiwa Ukunyani kuna lami kila kona! Wapi Coco reborn ?
Acha uongoKuna kiongozi na wenzie ambao wako nje ya mfumo ana ujamaa na hao na huwa anatia mkono wake kuwatumia kisiasa.