Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Yule kiongozi wa Sudan alivowachimba mkwara wakenya . jeshi LA Kenya ni dhaifu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliwachimba lini mkwaraYule kiongozi wa Sudan alivowachimba mkwara wakenya . jeshi LA Kenya ni dhaifu sana.
Aliwachimba lini mkwara
Fuatilia juzi kati Kenya imependekeza kupeleka jeshi Sudan, jenerali wa Sudan alisema atakayekanyaga ardhi ya sudani hatarudi Kenya akiwa mzima. Viherehere wakaufyata.Yule kiongozi wa Sudan alivowachimba mkwara wakenya . jeshi LA Kenya ni dhaifu sana.
Sawa Al shababAcha uongo
Mbn wenu wako wanaingiza n kupitisha silaha kwenda Congo na husemKuna kiongozi na wenzie ambao wako nje ya mfumo ana ujamaa na hao na huwa anatia mkono wake kuwatumia kisiasa.
Siku hizi hawatangazi, imekua ni jambo la kawaida kwaoKtk hilo shambulizi kuna taarifa yoyote kwamba majeruhi ni wangapi na waliokufa ni wangapi?
Mungu awape faraja hao jamaa.