Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya ina mpaka mrefu Sana na Somalia sio rahisi kulinda eneo lote.Kenya imeshindwa kabisa kulinda mipaka yake, hiki ni kitendo cha dharau Sana kwa jeshi na serikali ya Kenya, KDF ni jeshi la hovyo Sana.
Tony254
Don YF
IamLee
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Urafiki wa Kenya na US - mpaka wana kambi za jeshi lao nchini Kenya - hauwasaidii kuangamiza magaidi
Mzungu atakusaidia pampu za visima na vyandarua vya dawa, mengine makubwa utajikwamua mwenyewe
Ni Nyerere na Magufuli peke yao ndio walilielewa hili
Kwahiyo unaunga mkono mauaji yanayofanywa na hao jamas zenu.?Hebu kuwa na adabu dini yetu si dini yenu na sisi tunayemuabudu Allah ni mmoja tofauti na nyie
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hahahaha, ni sawa na kusema mwili wa Tembo ni mkubwa Sana hawezi kuubeba. Nchi ikishindwa kulinda mipaka yake majirani wataingia na kujigawia maeneo, huo ndio mwanzo wa serikali za Nchi kuondolewa madarakaniKenya ina mpaka mrefu Sana na Somalia sio rahisi kulinda eneo lote.
ahahaaaa!True hii mbinu ya kufatilia simu nayo wangeitumia kwa wale jamaa wa ile pesa tuma namba hii
Hamna la ajabu hapo nadhani hujawahi kufika mipakani ,tembele mipaka ya Tz utagundua kuna nyingi mno za kujipenyeza kuingia nchi jiraniHahahaha, ni sawa na kusema mwili wa Tembo ni mkubwa Sana hawezi kuubeba. Nchi ikishindwa kulinda mipaka yake majirani wataingia na kujigawia maeneo, huo ndio mwanzo wa serikali za Nchi kuondolewa madarakani
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
true!!Al-Shababu ni waislamua safi kabisa sema wanamsimamo mkali.
Ni kama Wakristo Walokole Wafia Dini.
Tofauti ni kwamba Wakristo wakiwa na msimamo mkali wa Dini wanakuwa wapole.
Wenzetu wanakuwa wakali sana, hawana mizaha kwenye Dini yao.
Ukijichanganya unachinjwa.
Mtakufa vifo vibaya sana kwa kuua watu ovyo na lidini lenu ka kupenda damu za watu, we uliona wapi Mungu akapiganiwa kwa kuchinja watu??hivyo ndio dini inavyotakiwa isambazwe
mtume aling'oka jino
wewe uswali tu upate pepo
kwani pepo ni ya babaako
hakuna pepo ya kuswali
Nani kakuambia kua hapo kuna dini , hio ni propaganda jomba.hivyo ndio dini inavyotakiwa isambazwe
mtume aling'oka jino
wewe uswali tu upate pepo
kwani pepo ni ya babaako
hakuna pepo ya kuswali
Nani kakuambia kua uislam ni kuuwa watu. Embu leta ushahidi kutoka kwenye hio dini kua wameambiwa wauane. Unafeli jomba.Mtakufa vifo vibaya sana kwa kuua watu ovyo na lidini lenu ka kupenda damu za watu, we uliona wapi Mungu akapiganiwa kwa kuchinja watu??
ama kweli movie zimewaathiri wengiNdugu zangu wa EAC mkiona makundi yoyote yanayofanya maangamizi, kuua kuteka nk, siyo kwamba hayafahamiki yalipo, serikali zote zinafaham ni kwamba kwa teknolojia ilipo sasa haiwezekani mtu akajificha alafu hasionekane labda kama anaishi stone age.
Kazi ya satellite ni kubwa sana, ila kinachofanyika ni uhuni tu.