I have encountered some pretty heavy id@ots in my life, but you take the pot, dude! You educated enough to have heard of the adage - 'garbage in, garbage out''? You embody this perfectly!!
Once again
LIVEFIRE is
off LINE, DELTA4 is on LINE - you can't fool nobody -
DELTA4 and
LIVEFIRE are one and the same ill mannered
simpleton namely LiveFire!!!(nakwambia kwa kuwa anajua tumekwisha blow his cover - kesho ata-devise tactics za kutumia PCs mbili au PC na mobile phone kujifanya LiveFire na DELTA4 ni watu wawali tofauta-man, you can fool MARINES not Tanzanians)
Mate, know what? Having gone through your TRASH I suggested you should have your
HEAD examined - you're not
normal, sijaona mtu yeyote anakusema vizuri katika forum hii you are the most bellicose in our Social Network- take your ungoverned TEMPER somewhere else not herein, kila saa ugomvi ugomvi!!!
Nataka nikupe ushauri wa bure: Majivuno/majigambo yako kawafanyie ndugu zako, kama huna kitu cha maana cha kuzungumza/kuchangia humu nenda ukanywe
NYUKA na kabila LAKO.
Majivuno majivuno ni tabia za
baadhi ya jamaa wanaotoka Lusinga/Kavirondo/Sihaya. Nimejaribu kukosoma kwa muda kufuatana na jinsi unavyo jibizana jibizana na kukorofishana na baadhi ya members wa JF specifically TANZANIAN, nimefika mahara nikajilidhisha kwa asili mia mia kwamba tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi kuliko kitu kingine, tatizo lako ni:
A terminal inferiority complex (ndio maana unapenda sana kujikuza kuza sana na kuandika andika idioms zisizo na mshiko, you can't even write a proper Queens English, una mawazo ya kijinga sana, kazi yako kuwatukana wana JF ovyo ovyo especially TANZANIANS hili u-compensateudhahifu wako huo) wakati mwingine unalipuka lipuka ovyo tu kama
TSUNAMI bila sababu za
MSINGI.
Owe
Wewe si unasema ni economist kuliko the father of CAPITALISM
Adam Smith, the Scottish
economist. Ebu twambie wana JF haya mambo ya gabbage in gabbage out umejifunza wapi? Kazi yako ni matusi tu: mara
gabbage, mara
....intercourse, mara
a four letter word - una tabia za watoto walio kulia
Kibera Shanty Town ndio hawajuhi kumchagulia mtu TUSI, wala siwezi kushangaa kama na wewe si product wa
HUKO, huna jambo jema la kuzungumza humu,
unakuwa kero tu kwa wana JF! Alafu ulivyo wa ajabu unanijifanya eti wewe
ndiye una wasimamia/waongoza Wakenya Wenzako katika forum hii, wakati hata hajuhi Mr.Smatta yuko wapi siku hizi!!!! Yet another white lie from a wannabe
clown namely
LiveFire cum
DELTA4!
Every Tanzanian knows that Most Kenyans are smart, truly independent minded and respectable people, now the question is: How can a character like
LiveFire play his fellow Kenyans on his little finger by declaring himself as a Guy on a drivers seat controlling em?? I think you owe them an apology.
Wakikuyu na makabila mengine hawana time na mambo ya kipuuzi kama ya kwako, ni watu wastarabu sana wanajua kuheshimu binadamu wezao, wako busy na bihashara zao na Wakikuyu in particular wanajulikana sana kwa ujasiri wao, are not like you a
sissy, a
spoilt BRAT, if you are not going to stop your
TIRADE the soonest, basi Watanzania tutakupa fundisho mpaka ujute kuzaliwa, jeuri zako wafanyie Wakenya wenzako siyo sisi.
Mwisho, labda niwape taharifa wana JF wenzagu: Nimekwisha eleza tatizo kubwa alililo nalo
LiveFire cum
Delta4, bila kumungunya mungunya maneno jamaahuyu amekuwa kero sana katika jamvi hili ukitaka kumjua alivyo, ukiongezea na walakini wake huo ebu sikiliza kisa hiki kilicho mfanya
ALIPUKE kwa hasira kama kawaida yake.
Mimi nilikuwa namweleza mwenzangu jinsi Wasomali walivyo formidable katika kutumia vifaa vya kisasa vya mawasiliano ambavyo haviwezi kuwa jammed kirahisi specifically Satellite Telephone nikaongezea kwamba wanatumia sana dead accurate GPS, frequency scanner and what have you, nilizungumzia na mbinu wanazo zitumia kukwepa kirahisi manowali za shirika la NATO, utumiaji wao wa speed boats, kuweza kuweka watu wao kwenye kampuni ya bima ya
Lloyd iliyoko
LONDON na kujua nyenendo za meli na kujua meli ziko LADEN na mali gani? Naona mazungumzo kati yangu na mwana JF mwingine kabisa yalimshtua sana
LiveFire cum DELTA4 akashindwa kuvumilia, sikumshangaa sana unajua watu wenye latent element ya lunacy ndio kawaida yao wanalipuka lipuka tu bila ya ku-digest mambo vizuri na hili ndilo
TATIZO lake kuu! Kahanza kuandika lugha zake chafu akinisema sema. Nilijua wazi ni mtu asiye jiamini and
very JUMPY!!!
Ujinga wake huu alianza muda mrefu tu kunifatia fatia akitumia jina la
LIVEFIRE akasema sema maneno nikamu-ignore sikutaka kuanza ku-argue with a fool, alipo gundua kwamba sikumjibu kitu akahamua
ku-login kwa kutumia jina la
DELTA4 kwa kuwa hana ubavu wakutaka ajulikane kama ni
LiveFire kwa kuniofia mimi! - ujinga mwigine huo hajuhi kwamba kila mwanadamu ana style yake ya kuandika ambayo ni vigumu kuibadili kama zilivyo alama za dole gumba, DNA, blood group na sauti!
Labda wana JF tukuhulize swali Mr.
LiveFire cum
DELTA4 , hivi ni kitu gani kilikushtua mpaka ukawa na a burning desire ya kunitolea maneno machafu yasiyo na bearing na mada iliyokuwa inazungumzwa, mimi nilikuwa namu-address member mwingine kabisa, lakini naona alishtuka saana - why were
U a
bundle of nerves if I may ask !! Come on mate be frank and let members know if my statements about Somalis did in
fact drop some pens Au kuna kitu ndio
ume-learn for the first time? Basi wewe ukae ukijua kwamba
ukijua huu na sisi tunajua huu na kadiri muda unavyo kwenda utakubaliana nasi kwamba Watanzania sio lelemama kama unavyo wachukulia wewe. Ntatoa mfano wa mwisho kuhusu your strange character: Juzi Juzi niliwaeleza wana JF wenzangu kuhusu
SLEEPER CELLS baada ya kulisoma hilo kakaa muda kama wa siku mbili hivi, naye akaja na ngojera zake kama kawaida yake akizungumzaia mambo yale yale kwa kuongezea chumvi kidogo, mimi sisemi watu wasichangie nisicho taka ni tabia ya kudhalau binadamu wenzako, ukubali ukae chini upewe somo. Hupo hapo! Au tikiona vipi wote tuamue kuku-ignore ubaki unapashana na Wakenya wenzako, atuitaji watu wenye vurugu na ukosefu wa ustaharabu HAPA.