Al Shabab watimba ndani ya shule na kuua walimu wa Kenya

Al Shabab watimba ndani ya shule na kuua walimu wa Kenya

Huko watu wanazikwa bure? Thank you for confirming that people die in your country. I thought you are all resistant to death that's why you laugh at Kenyans because of death occurrences. Death is natural. Every living being must taste it so there is no need to laugh at each other. Let's limit ourselves to discussing about things that add value to our lives. Those that we can't control, we need to let them be. God knows the reason. Good afternoon
mbona unakimbia sasa?
ni mahali Gani nimesema Tanzania watu Hawafi????
ACHA kunipakazia sawa? ni namna Gani tabia zenu mbovu za wanawake wa kikenya unazionesha waziwazi kwa wanaume wa Tanzania .
Kila sehemu kuna vifo na Wala usitake kuhamisha magoli sawa????
swala la hapa
ni uzembe wa vikosi vyenu vya ulinzi na usalama Coz haiwezekani nyie mnaojitanabaisha mnajeshi Bora na intelligencia boraaa
mshindwe kungamua tukio la uvamizi
and then nyie mnasema mna zana Bora na salama inakuaje KDF washindwe kuwaokoa walimu wasidhurike???

Naona unatafuta gia ya kuondokea
Haya wasalimu kenya nitakuja kukulipia maharii coz naona na wewe unahamu ya kuolewa na Mtanzania kama wenzako
atlest upate sehemu ya kuzikwa
maan huko kwenu hadi kuzikwa unalipia
 
Inamaana kwenye tukio hili uchumi mkubwa na jeshi lenye bajeti kubwa havijafanya kazi?
 
The government of Kenya,iz not keen on defence mechanism.tangu muda l,hiz issue haziishi.serikali imeshindwa kazi ya ulinzi
 
tafadhali wewe mwanamke pita kushoto HUWEZI ligi na Mimi sawa????
na kama unataka ligi sema
hivi Kati ya KDF na JWTZ
kina Nani wanafyekwa kama watt?
leta takwimu za KDF na JWTZ katika ulingo wa kushiriki operation na idadi ya wajeshi waliofariki ..
SHAME ON YOU.
na kama hujuh kitu NYAMAZA.
Tunabishana kwa fact.na wala SIYO kwa maneno ya kejeli
Hahahahaha unakumbuka kambi yenu ilivovamia wakauwawa wanajeshi zaidi ya 150 Kenyatta akawa anadanganya idadi kamili ya waliokufa!!!!? shame on KDF
 
Nask KDF Hula maandaz tu kwa kwenda mbele tena ya bakhresa....
 
Back
Top Bottom