Kemei wanaposema wanapigania diniHyo vita haihusiani na dini ni uroho tu wa madaraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kemei wanaposema wanapigania diniHyo vita haihusiani na dini ni uroho tu wa madaraka
Kuhusu Msumbiji jeshi la Rwanda lilikuwa kama cover up Kwa majeshi ya SADC... Kutokana na umbali wa Rwanda na Mozambique. Wataalam wa majeshi watakua wamenielewaHv Kagame wajeshi wake wapo Somalia?awapereke!maana alijitapa kumaliza magaidi wa msumbiji
Mwanajeshi anaajiliwa akafie vitaniPole kwa ndugu,jamaa na marafiki wao hao wanajeshi.Mu7 ange-concentrate DRC,kama sisi wanajeshi wetu wanakoenda.DRC uwezekano ni mkubwa wa wanajeshi kurudi hai,kuliko Somalia.Somalia ni hatari,hata nafasi za jeshi huku kwetu,zingekua zinatangazwa halafu zinaambatana na tangazo la kwamba baada ya kuhitimu,wahitimu watapelekwa Somalia,wangejitokeza wachache sana na happy ndo tungeona wale wenye wito wa jeshi kabisakabisa.R.I.P real soldiers.
Not "Say bye bye to my family",.It is " Send my body to my family/parents"Twakumbukaaaa makamanda wetu waliokufa kwenye mapambanooo×2
If I die don't bury me, say bye bye to my family×2
Kazi ya jeshi ni nzuri sana sometimes ya ajabu ajabu