Al-Shabab waua wanajeshi 54 raia wa Uganda

Hv Kagame wajeshi wake wapo Somalia?awapereke!maana alijitapa kumaliza magaidi wa msumbiji
Kuhusu Msumbiji jeshi la Rwanda lilikuwa kama cover up Kwa majeshi ya SADC... Kutokana na umbali wa Rwanda na Mozambique. Wataalam wa majeshi watakua wamenielewa
 
Ogopa Sana kupigana na mtu ambae kifo kwake Ni ibada[emoji26]
 
Mwanajeshi anaajiliwa akafie vitani
 
Twakumbukaaaa makamanda wetu waliokufa kwenye mapambanooo×2

If I die don't bury me, say bye bye to my family×2

Kazi ya jeshi ni nzuri sana sometimes ya ajabu ajabu
Not "Say bye bye to my family",.It is " Send my body to my family/parents"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…