Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Mzee mwenzangu mbona unazeeka vibaya hivi? Hivi jeshi la nchi utasema libaki huko dar kweli?
Au nyie la kwenu liko compacted hapo nai!
BTW, siungi mkono mambo ya ughaidi nimekuelewesha hilo tu!
Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi
nyinyi midoli kamwa mnajiaibisha tu!
Jeshi lenyewe halina nidhamu zaidi ya Wizi
Haaaa! Mzee wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona Burundi wakapeleka ilhali wako mbali nanyi?? Sielewi mko mbali vipi??
Kwani Tanzania ni nchi ama ni Kijiji??
Aliyekudanganya kwamba uvamizi wa nchi unaleta biashara nani? kwa hasara ya mali, vifaa na rasilimali watu mnazopata sasa hivi hazilingani kamwe na biashara ya miraa mnayofanya huko Somalia..Kuna wakati Kenya ilipeleka wanajeshi Cote D'Ivore, West Africa, Kwa nini??
Nchi zikihusika kuleta amani hustawisha biashara kati ya nchi hizo mbili!
Raisi wa Somalia alichukulia mamlaka hapa Nairobi, na kuishi Kenya hadi Somalia kupotulia kidogo kule Mogadisho!! Sahizi biashara kati ya Kenya na Somalia ni ajabu!!
Ni market ambayo hatukuwa nayo, Hivi sasa hata Tanzania mkatae kufanya na sisi biashara, tayari tuko sawa!!
Hii ndio maana nchi husaidiana kuleta amani baina yazo
Nimekuelewa kaka! Honestly siwaungi mkono kabisaaaa alshabaab!Shukran kaka! Nshaelewa! Ni vile sikupendezwa na wazo la mwezako pale juu nami nikaropoka
NonsenseHujui kitu kuhusu maonyesho ya majeshi wewe!
Kwa muda wako tu, angalia majeshi ya nchi nyingine duniani kwenye maonyesho yasiyo ya siraha halafu urudi hapa! Ukishindwa basi nikusaidie!
My dear think hard,do understand their ideologies and what they want achieve,they hav been recruiting kenyans,wakimalizana na sisi wanaingia tz,usiangalie hapa mbele think long term about what they want achieveKwetu haitakuwa na manufaa kwasababu tukombali nao ni sawa na nyie kupeleka jeshi enu Zambia
Kenya imevamia nchi ya Somalia ama imepeleka wanajeshi kupambana na wanamgambo hatari ambao wangefanya hasara eneo hili na kudumisha amani?Aliyekudanganya kwamba uvamizi wa nchi unaleta biashara nani? kwa hasara ya mali, vifaa na rasilimali watu mnazopata sasa hivi hazilingani kamwe na biashara ya miraa mnayofanya huko Somalia..
Lakini si juzi tu mlinunua midege kutoka marekani au na yenyewe ilishalipuliwaMko nyuma ya computer mnatype upuuzi na jeshi lenyu haijawaii karibia somalia, kama nyinyi mko imara ingieni somalia mpigane na mtu ameamua kufa aendee mbinguni tuone,jeshi la kupasua matofali
Kenya imevamia nchi ya Somalia ama imepeleka wanajeshi kupambana na wanamgambo hatari ambao wangefanya hasara eneo hili na kudumisha amani?Aliyekudanganya kwamba uvamizi wa nchi unaleta biashara nani? kwa hasara ya mali, vifaa na rasilimali watu mnazopata sasa hivi hazilingani kamwe na biashara ya miraa mnayofanya huko Somalia..
Hatunaga kihelehele kisichokuwa na maana nyie kubalini kuwa mmeshindwa tu .....Juzi naona mnapost mipicha ya midege nikadhani ndo inapelekwa huko somalia kumbe mmeficha hiyo midege nyenuMbona Burundi wakapeleka ilhali wako mbali nanyi?? Sielewi mko mbali vipi??
Kwani Tanzania ni nchi ama ni Kijiji??
Do that simple homework dude!Nonsense
Atleast mcopy north korea afew stunts,kila siku the same thingDo that little homework dude!
Yet we can't send there our troops simply because they recruit some ignorant fool Tanzanians! There must be strong reasons!My dear think hard,do understand their ideologies and what they want achieve,they hav been recruiting kenyans,wakimalizana na sisi wanaingia tz,usiangalie hapa mbele think long term about what they want achieve
Talking of North Korea, watch this and see if there aren't bricks in their training!Atleast mcopy north korea afew stunts,kila siku the same thing