Al Shabab wavamia Kambi ya jeshi la Kenya Kolbiyow

Al Shabab wavamia Kambi ya jeshi la Kenya Kolbiyow

Mzee mwenzangu mbona unazeeka vibaya hivi? Hivi jeshi la nchi utasema libaki huko dar kweli?

Au nyie la kwenu liko compacted hapo nai!


BTW, siungi mkono mambo ya ughaidi nimekuelewesha hilo tu!

Shukran kaka! Nshaelewa! Ni vile sikupendezwa na wazo la mwezako pale juu nami nikaropoka
 
Kuna wakati Kenya ilipeleka wanajeshi Cote D'Ivore, West Africa, Kwa nini??

Nchi zikihusika kuleta amani hustawisha biashara kati ya nchi hizo mbili!

Raisi wa Somalia alichukulia mamlaka hapa Nairobi, na kuishi Kenya hadi Somalia kupotulia kidogo kule Mogadisho!! Sahizi biashara kati ya Kenya na Somalia ni ajabu!!

Ni market ambayo hatukuwa nayo, Hivi sasa hata Tanzania mkatae kufanya na sisi biashara, tayari tuko sawa!!

Hii ndio maana nchi husaidiana kuleta amani baina yazo
Aliyekudanganya kwamba uvamizi wa nchi unaleta biashara nani? kwa hasara ya mali, vifaa na rasilimali watu mnazopata sasa hivi hazilingani kamwe na biashara ya miraa mnayofanya huko Somalia..
 
Tena kupitia UN kenya imeenda kwingi tu, hata kule Asia wamefika.. Tena kenya ikituma wanajeshi mahali polite tunahakikisha sisi ndo tunaongoza mission ya UN


wp_ss_20170603_0002.png
wp_ss_20170603_0003.png
wp_ss_20170603_0004.png
 
They think we've never attended any peace keeping mission,yet they send their soldier to be trained in karen
 
No deaths have been reported yet, the KDF apparently repulsed the attackers with motars. And the fact that there' s no word yet from yhe Alshabby about the attack- to rub it on our faces means that it was not successful.
 
Kwetu haitakuwa na manufaa kwasababu tukombali nao ni sawa na nyie kupeleka jeshi enu Zambia
My dear think hard,do understand their ideologies and what they want achieve,they hav been recruiting kenyans,wakimalizana na sisi wanaingia tz,usiangalie hapa mbele think long term about what they want achieve
 
Aliyekudanganya kwamba uvamizi wa nchi unaleta biashara nani? kwa hasara ya mali, vifaa na rasilimali watu mnazopata sasa hivi hazilingani kamwe na biashara ya miraa mnayofanya huko Somalia..
Kenya imevamia nchi ya Somalia ama imepeleka wanajeshi kupambana na wanamgambo hatari ambao wangefanya hasara eneo hili na kudumisha amani?

Hii amani na usalama- ingawaje sio kamili nchini Somalia, imefanya eneo hili kuwa mazingira pema pa kuwekeza na kufanyia biashara.

Hebu tafakari hilo kwa kutumia akili pevu, Bw. Mtui.
 
Mko nyuma ya computer mnatype upuuzi na jeshi lenyu haijawaii karibia somalia, kama nyinyi mko imara ingieni somalia mpigane na mtu ameamua kufa aendee mbinguni tuone,jeshi la kupasua matofali
Lakini si juzi tu mlinunua midege kutoka marekani au na yenyewe ilishalipuliwa
 
Aliyekudanganya kwamba uvamizi wa nchi unaleta biashara nani? kwa hasara ya mali, vifaa na rasilimali watu mnazopata sasa hivi hazilingani kamwe na biashara ya miraa mnayofanya huko Somalia..
Kenya imevamia nchi ya Somalia ama imepeleka wanajeshi kupambana na wanamgambo hatari ambao wangefanya hasara eneo hili na kudumisha amani?

Hii amani na usalama- ingawaje sio kamili nchini Somalia, imefanya eneo hili kuwa mazingira pema pa kuwekeza na kufanyia biashara.
Fedha tunazotumia katika kukabiliana na wanamgambo hawa is justified, hasara ingekuwa pale hatungefanya lolote.

Hebu tafakari hilo kwa kutumia akili pevu, Bw. Mtui.
 
Mbona Burundi wakapeleka ilhali wako mbali nanyi?? Sielewi mko mbali vipi??

Kwani Tanzania ni nchi ama ni Kijiji??
Hatunaga kihelehele kisichokuwa na maana nyie kubalini kuwa mmeshindwa tu .....Juzi naona mnapost mipicha ya midege nikadhani ndo inapelekwa huko somalia kumbe mmeficha hiyo midege nyenu
 
My dear think hard,do understand their ideologies and what they want achieve,they hav been recruiting kenyans,wakimalizana na sisi wanaingia tz,usiangalie hapa mbele think long term about what they want achieve
Yet we can't send there our troops simply because they recruit some ignorant fool Tanzanians! There must be strong reasons!
 
Back
Top Bottom