Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What?Waje na bongo tuone jeshi letu sio kuonea raia wasio na kosa
Swissme
Siasa zimekula ubongo wako kama DJ alivyomla wema!Waje na bongo tuone jeshi letu sio kuonea raia wasio na kosa
Swissme
Waje na bongo tuone jeshi letu sio kuonea raia wasio na kosa
Swissme
Hii habari yakuipigia (X) niyauongo haina ukweli wowote hii simara yakwanza kwa KDF kuongopa hivyo walishawahi hata kutengeneza sinema ili kuwaaminisha umma wakenya jinsi gani walivonanguvu, mida mingine wao ndio wanaouliwa alafu wanatangaza wameuwaView attachment 519541
Watu 14 wanaodaiwa kuwa ni magaidi wa Al Shabab wameuawa kwa kupigwa risasi wakati wakijaribu kuvamia kambi ya Jeshi la Kenya (KDF).
yaani watz mshukuru al shabaab hawajafika huko na muombe wasije wakafika huko...sijui ndo mtamalizwa wote jinsi waswahili hawapendi kufanya kazi...Mbona hujitakii mema, unadhani Al Shabab wataua askari na kuacha raia.
Jitafakari kabla ya kuandika.
whats ur point dude? this thread is not to say that KDF are stronger than tz forces...its a News Alert stop turning it into a TZ vs KE moment.Hii habari yakuipigia (X) niyauongo haina ukweli wowote hii simara yakwanza kwa KDF kuongopa hivyo walishawahi hata kutengeneza sinema ili kuwaaminisha umma wakenya jinsi gani walivonanguvu, mida mingine wao ndio wanaouliwa alafu wanatangaza wameuwa
polisi wakiuwawa unafurahishwa siyo?Ngoja na alshabab nao watoe video zao... Walivyowategea mabomu barabarani
Hawawezi kumalizwa mpaka uislamu utawale dunia!!!vizuri...wamalizwe hawa mende..
hahaha...punguza...hahaha..wachana na yule...nazan ana upungufu flan...ila tulia...hahahaWe mpumbavu. Huna akili. Ulipaswa kunyongwa ufe
nazan wewe ni mmoja wao...anyway, dini huwa hailazimishwi...religion huwa ni jambo la kujiamulia...uislamu hauwezi ukatawala ulimwengu kamwe tayari watu wengi wanaidharau Islam na kuiona kama dini ya mende kama hawa alshabaab na ISISHawawezi kumalizwa mpaka uislamu utawale dunia!!!
Hizo video huwa sizipendi.. Ningekuwa naweza ningewanyima access ya mtandao magaidi wote duniani.polisi wakiuwawa unafurahishwa siyo?
Hata kama ni uongo, hizo ni mbinu za kijeshi Kumwogofya adui, inawezekana wakawa na taarifa za kuvamiwa kambi yao, wakaamua kuisemea hvo ili adui ajue ameumbukaHii habari yakuipigia (X) niyauongo haina ukweli wowote hii simara yakwanza kwa KDF kuongopa hivyo walishawahi hata kutengeneza sinema ili kuwaaminisha umma wakenya jinsi gani walivonanguvu, mida mingine wao ndio wanaouliwa alafu wanatangaza wameuwa