Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Huenda wametembelewa na Mwarabu wa Bandari
Tatizo ni nini hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni nini hasa?
Nasikia issue ya viwanja. Umeuziwa. Ukaanza kujenga. Au ukahamia kabisa. Unakuja anbiwa iko kiwanja ni eneo la muhindi sijui toka 1980.Toeni taarifa kamili, tatizo ni Nini Hadi wamobolewe?
Ndio hadi kuiba Mali zao Sasa?busara huepusha madhara,wangepewa muda wakuondoa Mali zao,wangeambulia bati na tofali kadhaa ,madirisha, materials za pesa mingi Sana Apo zimepoteawanasema.asiyesikia la mkuu uvunjika guu.walishaambiwa hayo maeneo ni uvamizi pale mingoi nyuma ya kiwanda cha rami lakn hawakusikia.haya ndo malipo yake.
Mambo mengine lazima tufuate haki za watu. Hapa hawa waliovunjiwa walivamia shamba la mtu wakaambiwa waondoke wakafanya jeuri hata hawakutaka majadiliano na mwenye shamba!! Sasa mahakama imeamua hawa wavamizi waondolewe shambani kwa mwenyewe maadam hawakutaka maelewano!!Watanganyika wanatesaka kati ardhi ya nchi yao....kuna mwisho, ipo siku.
Hakikisha unanunua eneo ambalo, muuzaji anakuonyesha nyaraka zote muhimu hasa Hati miliki kutoka wizaraniHivi sheria inasemaje ikiwa mtu alipewa eneo na serikali ya kijiji/mji na hakufanya chochote kwa muda mrefu baadae serikali ya kijiji ikarudisha eneo kwa wananchi ndipo yule mwekezaji akajitokeza na kudai eneo baada ya kesi kwenda mahakamani yule mwekezaji akashindwa kesi lakini akawa bado anaenda kwenye maeneo yale kukagua mipaka hii imekaaje kisheria?
Unakuja nyarakaz za serikali ya Kijiji,mwenzako anakuja na title deed.na risiti zote kila mwaka analipia ardhi yake,Nani atakua na nguvu?Hivi sheria inasemaje ikiwa mtu alipewa eneo na serikali ya kijiji/mji na hakufanya chochote kwa muda mrefu baadae serikali ya kijiji ikarudisha eneo kwa wananchi ndipo yule mwekezaji akajitokeza na kudai eneo baada ya kesi kwenda mahakamani yule mwekezaji akashindwa kesi lakini akawa bado anaenda kwenye maeneo yale kukagua mipaka hii imekaaje kisheria?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] inafikirisha sana mkuuUnakuja nyarakaz za serikali ya Kijiji,mwenzako anakuja na title deed.na risiti zote kila mwaka analipia ardhi yake,Nani atakua na nguvu?
Sio RAZABA kweli?Huenda wametembelewa na Mwarabu wa Bandari
No wonder Msemaji rasmi wa SMZ alionya kuhusu RAZABA!Mambo mengine lazima tufuate haki za watu. Hapa hawa waliovunjiwa walivamia shamba la mtu wakaambiwa waondoke wakafanya jeuri hata hawakutaka majadiliano na mwenye shamba!! Sasa mahakama imeamua hawa wavamizi waondolewe shambani kwa mwenyewe maadam hawakutaka maelewano!!
Uvamizi Kama huu uko kwenye mashamba ya Watu mengi huko kuelekea seheme za Mapinga , hivyo nyumba nyingi zitavunjwa iwapo wavamizi hawatapata suluhu na wenye mashamba! Kumbuka haya mashamba yana TITLE DEEDS!
Ungesema Mapinga ipi? Mwakibosha au sehemu gani mkuu?Wasalaam,
Tanzania ya wabeba ndio sasa watu wamebomolewa nyumba zao na kuibiwa vitu huko Kijiji cha Mapinga Bagamoyo. Ni huzuni kubwa sana sana. Mungu wa mbinguni awape nguvu ya kustahimili wahanga wote.
Tunawapenda wote na Mungu aweke wepesi kwenye machungu yenu. Akawape rehema ya riziki mpate kuamka tena kimaisha.
Inshallah Mungu ni mwema
Wadiz
Mleta uzi amekuja kiumbea umbea, naona kabisa hakuwa na haja kuletataarifa ambazo hazijakamilikaMapinga sehemu gani
Kibosha
Uzaramuni
Kwa shehe
Amani
Udindivu
Kibosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Razaba ni makurunge uko,sio apo,ingekua razaba ata bunju ingeguswa,maana mapinga na bunju ni jiraniNo wonder Msemaji rasmi wa SMZ alionya kuhusu RAZABA!
Kuna video ipo miongoni mwa comments fatiliaUngesema Mapinga ipi? Mwakibosha au sehemu gani mkuu?