Alaaniwe aliyeiua Nako2Nako Soldiers (Lord Eyes, Ibra da Hustler, G Nako, bou Nako) fufueni kundi

Alaaniwe aliyeiua Nako2Nako Soldiers (Lord Eyes, Ibra da Hustler, G Nako, bou Nako) fufueni kundi

Naangalia juu mawinguni namuona yesu
Najiuliza itakuaje mwanakwetu
 
Nimekomaa kwenye hili gemu toka enzi za kina kibacha
Nipe tano nipe gwala nisiwaharibie mapacha
 
Check mc's wanaspeak nonsense
Hamamake sense hii kwao life sentence
Nawaua mi kila sentensi
 
Mitambo yangu fati awa hisabbati
styles tofauti ndo zinatuweka kwenye chati
Wengi hawataki
wengine wanahamaki
Hii biti ya P funk naitambalia kama sitaki
Check ninavyotembea
Check ninavyoenea
Check makiki masnea
af check unavyonielewa
Nawakilisha hip-hop ndo sababu nipo hapa baab
Pesa ndo kitu sina na ntazisaka daima
mtu mzima mwanaume majukumu laZima
Gem nguum nabadilikia humuhumu
Nasukuma hip-hop gurudum nakomaa humuhumu
nazidi kutema sumu
gem ngumu
commercial niggaz wanapumu
mistari inawahukumu
hawajui wanachosema
kwenye show wanahema
flow zao za kikuuuuuu...
usoni cna ngenya ila moyoni sio mwema
sipendi sana kutema sababu kuna madini natema
nikitema leo kesho unakuta dukani yanauzwa
nisipotema keshokutwa mcs tutawauguza
 
Umewataja wote umemuacha muasisi wa jina Nako 2 Nako ambae ni Fido Vato
 
Mitambo yangu fati awa hisabbati
styles tofauti ndo zinatuweka kwenye chati
Wengi hawataki
wengine wanahamaki
Hii biti ya P funk naitambalia kama sitaki
Check ninavyotembea
Check ninavyoenea
Check makiki masnea
af check unavyonielewa
Nawakilisha hip-hop ndo sababu nipo hapa baab
Pesa ndo kitu sina na ntazisaka daima
mtu mzima mwanaume majukumu laZima
Gem nguum nabadilikia humuhumu
Nasukuma hip-hop gurudum nakomaa humuhumu
nazidi kutema sumu
gem ngumu
commercial niggaz wanapumu
mistari inawahukumu
hawajui wanachosema
kwenye show wanahema
flow zao za kikuuuuuu...
usoni cna ngenya ila moyoni sio mwema
sipendi sana kutema sababu kuna madini natema
nikitema leo kesho unakuta dukani yanauzwa
nisipotema keshokutwa mcs tutawauguza
Wasanii mnaleta traffic
Siwaafiki nyie wanafiki
Nawameza Ka meli Atlantic
Ni da hustler
Niko maabara
Drugs Ka Viagra
Mwagara......

Hawatuwezi itakua ngumu
Kitushikia Chini
Hawatuwezi ingawa game ni ngumu
Bado naendelea kutema Sumu

King Ibra kwenye ubora wake alikua ni shiiiiiida
 
Back
Top Bottom