Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
WanaJF habarini!
Mara nyingi niwapo Vijijini (sehemu ambazo network ni dhaifu) napendelea kutumia simu ndogo (ya batani/java phone) maana smartphone huwa slow kupita kiasi tofauti na simu ndogo.
Pale nikiwa kwenye data huwa inatokea alama "E" lakini kuna baadhi ya maeneo nikiwa kwenye data alama "G" hutokea japo mara chache sana.
Je, hizo alama humaanisha nini? Nini tofauti?
Mara nyingi niwapo Vijijini (sehemu ambazo network ni dhaifu) napendelea kutumia simu ndogo (ya batani/java phone) maana smartphone huwa slow kupita kiasi tofauti na simu ndogo.
Pale nikiwa kwenye data huwa inatokea alama "E" lakini kuna baadhi ya maeneo nikiwa kwenye data alama "G" hutokea japo mara chache sana.
Je, hizo alama humaanisha nini? Nini tofauti?