wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Nimeona mtu kaivaa mkononi kidogo imenishtua maana iko tofauti na ninazoziona kwa Wamasai au madukani.
Ukiichunguza vizuri katikati kuna kitufe kimoja kina kapicha kama sura ya mtu fulani au zile mojawapo ya nembo ya Freemason.
Hivi kina maana gani?
Ukiichunguza vizuri katikati kuna kitufe kimoja kina kapicha kama sura ya mtu fulani au zile mojawapo ya nembo ya Freemason.
Hivi kina maana gani?