Alama hii ina maana gani?

Alama hii ina maana gani?

(Out of Point)

Nilikwambia Ungetoa statement ya Ukristo ili kubalance logic yako ya urembo..maana kwanza Wakristo wano vaa Rozary ni R.C na Sio Urembo kama ulivyo sema apo Awali
Kingine Muslim na wengineo usemao Sio wakristo
Ukimkuta muslimm kavaa rosali utaongea nn au pagani kavaa?!
 
Moo Click, Anyway sitaki ligi uje uone rozali yangu ndo utajua nmevaa urembo au nn

Jua tu watu wana weird interest

Umeshinda hii ligi
 
  • Thanks
Reactions: TCA
Tu me Kwisha
Kumbe haya yote sababu yake ni hii...!
Tumekwisha.
Na awamu ya Pili
HALI ITAKUWA MBAYA ZAIDI YA HII.
MWENYE JEMBE NA SHOKA NA AYANOE.
TUELEKEE KIBUGUMO NA KWA MWANA LILATU TUKALIME.
 
Nimeona mtu kaivaa mkononi kidogo imenishtua maana iko tofauti na ninazoziona kwa Wamasai au madukani.

Ukiichunguza vizuri katikati kuna kitufe kimoja kina kapicha kama sura ya mtu fulani au zile mojawapo ya nembo ya Freemason.

Hivi kina maana gani?

View attachment 1278849
nasikia wadada wakivaa mguuni kinamaanisha wanapiga miguu yote mitandao yote inasoma 4G
 
Asnte sana mdogo ake na mrisho mpoto
Tu me Kwisha
Kumbe haya yote sababu yake ni hii...!
Tumekwisha.
Na awamu ya Pili
HALI ITAKUWA MBAYA ZAIDI YA HII.
MWENYE JEMBE NA SHOKA NA AYANOE.
TUELEKEE KIBUGUMO NA KWA MWANA LILATU TUKALIME.
 
Wasukuma kwa kupenda bangiliii[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom