Uzi gani huo?Hahaha sasa ule uzi leo si ndio unakuwa juu juu atauona tu...walevi wakihamua kufanya yao
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaHawachi ukimfata espy na shunie watakupoteza.. hyo ni stry ya jukwaa jingne..hazard muulize fresh jaman tunaharibiana mjue😂😂
Uzi gani huo?
Natamani kuujua🤔Uzi gani huo?
Natamani kuujua🤔
🤣🤣🤣Hapana best mimi mnywaji mzuri wa pombe natamani kujumuika na wanywaji wenzangu je unaweza kunitajia huo uzi sweet 🤣🤣🤣🤣hhaa mwanamke unataman kuona mwili wa mwanamke mwenzako 😂😂pasetik
🤣🤣🤣Hapana best mimi mnywaji mzuri wa pombe natamani kujumuika na wanywaji wenzangu je unaweza kunitajia huo uzi sweet 🤣🤣🤣🤣
sivae bra!Habari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu😢😢😢😢😢!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂konyo ww😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hazard usimjibu mbea m1 huyu hahaja alafi wa kawaida sema hazaed mpambe nux
Una utani wewe mkuu, bila bra mjini patakalika kweli!!U
sivae bra!
Ukiona na mm auntie uniite tuone woteUmbea suna nibi wee, kwakweli sikubali hadi niuone upaja na mimi.
Hahahhah hata hatujuiWahenga wenzangu huku mmefikaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usijali kabisa auntie.Ukiona na mm auntie uniite tuone wote
Kwani anakunywahebu mw3mbie kwanza....khaa kanikalia kooni sijui kashalewa huyu espy[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunatafuta upaja.
Uzi ukipost ujue ni wa kwetu wote sio wako tenaespy unaharibu sana uzi wangu ww ujue[emoji51][emoji51]
☹☹☹Uzi ukipost ujue ni wa kwetu wrote sio wako tena
Kwani anakunywa