Alama hizi za bra zinatokaje?

[emoji16][emoji16][emoji16]nahis huelew..yaan mm mgongon na bagan imechora kbs jaman..eti unavutiwa[emoji16][emoji16][emoji16] mm hapana nimeanza zichukia..maana janq dingi aliniona akamuask mkewe[emoji16][emoji16]nilijisikia ovyo[emoji58]
Bado unaishi kwenu! We usivae hizo vitu ili matiti nayo yapate hewa poa ila inaonekana una mtindi wa kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
izo mistari mi demu wangu alitoa na vumbi la majivu alikuwa anachanganya na limao sikuzionaga tena japo nilikuwa nazipenda mimi
 
Mimi sio mdada ila namuona gf wangu hupaka mafuta ya cocoa butter na baby oil. Husema inaondoa uwasho na alama za mwilini


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…