Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nimefurahi kuwa tupo wote.[emoji22][emoji22][emoji22]nimerithi ya mama..usinicheke usinitenge[emoji23][emoji23]
Be you.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahi kuwa tupo wote.[emoji22][emoji22][emoji22]nimerithi ya mama..usinicheke usinitenge[emoji23][emoji23]
kweli ukiona utanionea hurma..sema mnaleta utaniOya elete kwanza pm niisaminisheee
kweli ukiona utanionea hurma..sema mnaleta utani
Punguza kuvaa braa nyeusi. Ina sharubu mwanga na kukuchoma sana kwenye ngozi
Pole sana. Paka mafuta ya nazi basi. Usiliee
😂😂😂kama naanza kukuamini..napenda bra nyeusi asikuambie mtu..dadek.huenda kuna ukweli bwana..nyeupe navaa occasionally
Unavaa braa nyeusi ili ikichafuka isionekane siyo?
😂😂😂kama naanza kukuamini..napenda bra nyeusi asikuambie mtu..dadek.huenda kuna ukweli bwana..nyeupe navaa occasionally
Haya sasa uzuri gharama ya mistari
Aisee! Hataree! Haujaenda ibadani leo?Kilo 2
wakati nipo form2 ndo manyonyo yaloanza kuota..bas nikawa naona aibu..nikawa navaa zile sports bra nalala nayo since then jaman..siwez lala bila bra..!..hii toka navunja ungo had labor mie naenda na bra[emoji23][emoji23]..