Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini siumeona mwenyewe linavyo vutia " hizo nyusi ndio kabisa ..nahisi homakhaaa!
😎
Lakini siumeona mwenyewe linavyo vutia " hizo nyusi ndio kabisa ..nahisi homa
Yaani Jana nili imagine jinsi unavyogeuza shingo kuitazama hiyo mistari ya bra mabegani' namna ambavyo hilo jicho huwa linaangalia bega ..mhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa ... za asubuhi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]konyo sana ww aiseee
poa mkuu mambo
Hahaha..hatari sana.Lakini siumeona mwenyewe linavyo vutia " hizo nyusi ndio kabisa ..nahisi homa
Yaani Jana nili imagine jinsi unavyogeuza shingo kuitazama hiyo mistari ya bra mabegani' namna ambavyo hilo jicho huwa linaangalia bega ..mhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah halafu mimi nina kaugonjwa kakupenda galz ambao huwa wanazi tunza nywele zao katika muonekano wa kiasili. Kama hivyo ulivyo suka ... bila ya kusahau mwanamke mwenye nywele nyingi za asili ni sehemu ya ugonjwa wangu .... sasa hapo naona wewe una nywele nyingi sana kiasi kwamba mpaka unasuka mafungu mawili !!? Wakubwa wanafaidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]konyo sana ww aiseee
Hahaa mkuu wewe acha tu -- ndio maana jiwe watoto wazuri kama hawa huwa ana wapa vitengo tu "
Hehe..mtoto anaonekana mtamu sana huyu.Hahaa mkuu wewe acha tu -- ndio maana jiwe watoto wazuri kama hawa huwa ana wapa vitengo tu "
Now tunamlaumu ' lakini waweza kukuta hata mimi nikiwa kwenye nafasi yake naweza kufanya hivyo hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen
Daah halafu mimi nina kaugonjwa kakupenda galz ambao huwa wanazi tunza nywele zao katika muonekano wa kiasili. Kama hivyo ulivyo suka ... bila ya kusahau mwanamke mwenye nywele nyingi za asili ni sehemu ya ugonjwa wangu .... sasa hapo naona wewe una nywele nyingi sana kiasi kwamba mpaka unasuka mafungu mawili !!? Wakubwa wanafaidi
Dahh ngoja niishie hapa tafadhalo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nilipo sema za asili nilikuwa na maanisha sio ..weaving .wig.au rasta zile za kichina(human maid)... hilo suala la kuwa na dawa .. haliondoi u-natural wakezina dawaaaa[emoji41][emoji41][emoji41]
Duh..huwa ninatatizo nikimpenda mtu kutoka moyoni namuogopa, ngoja nijipange nione naanzaje aisee.