Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefosi TU, Hamna M hapo mkuu[emoji4]Mimi ninayo na nina akili kubwa na za ajabu sana, kwani mpaka sasa hivi nimefanikiwa kugundua mambo makubwa sana.Imagine juzi nimegundua time katika universal model.
View attachment 2370527View attachment 2370528View attachment 2370529
Hii ndio clear MHiyo si M au
Hamna M hapo
Nyetow za losheni zinalainisha sana mikono[emoji12]Sasa kama hatufanyi kazi ngumu hiyo mikono migumu itatokea wapi?
Mimi mbona yote kinyume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mm nina M perfect kabisa
1.ni kweli nina akili sio ya kawaida kabisa
2.ni kweli ukiwa na M ni rahisi sana kupata hela ila hii ni kutokana na brain pia
3.ni kweli unavuka changamoto yoyote ambayo mtu wa kawaida anaweza kujiua
4.na ni kweli M wana bahati sana
Ila: uwe karibu na MUNGU na uepuke tu umalaya utajishangaa mno kila kitu kinaenda
View attachment 2374781
Fanya utaratibu mzee😂😂😂😀😀😀maybe! Manake mambo ya madusko yananipitia mbali aysee japo najitahidi sana! Dooh
Kwamba niende kwenye mahakama ya wanyonge mkuu? 😀😀Fanya utaratibu mzee😂😂😂
Linda Ndoa Yako mkuungoja tujifarijiView attachment 2370657
Mtafute mshanà atakupa muongozo😂😂Kwamba niende kwenye mahakama ya wanyonge mkuu? 😀😀
Hiyi ndio mVipi kuhusu hii View attachment 2370827
Mimi viganja vyangu vyote vina alama ya herufi M, kwenye swala akili na uwezo wa kupambanua mambo najikubali Mungu amenipa uwezo Mkubwa sana, huwa nawazoom Tu watu wanavyopata ugumu kuchanganua mambo tena wakati mwingine mambo mepesi kabisa, tukija kwenye swala la utajiri mmh! bado nasubiri... Lakini pamoja na yote haya mara nyingi sisadiki kwenye abstract and myth kama hizi ambazo hazina uthibitisho wa kisayansi au ushahidi wenye uliopembuka na yakinifuJe, wewe una alama herufi"M kiganjani? Ni asilimia 1% tu ya watu duniani walio nayo alama hiyo! Hapa ndipo unapohitaji kujua sasa maana ya alama hiyo! Tiba za kiganjani au alama za kiganjani (Palmistry) ni njia ya zamani ya kutabiri siku zijazo na tafsiri ya utu wa mtu kutoka kwenye muundo wa mistari ya mikono.
Wakati mwingine mistari hii inaweza kuunda hata nambari na herufi. Moja ya herufi hizi inaweza kuwa herufi "M" ambayo umuhimu wake umechunguzwa na wataalamu wengi. Kama wengi wanavyoamini, mistari kwenye kiganja inaonyesha tabia na hatima ya maisha yetu. Herufi "M" imepewa kwa watu maalum tu.
Wamejaaliwa ufahamu (akili) wa ajabu na inawakilisha kuwa ni washirika bora kwa biashara yoyote. Ikiwa una watu unaowapenda wana herufi "M" ndani ya kiganja cha mkono, lazima ujue ukweli kwamba huwezi kuwadhihaki na huwezi kusema uwongo au kumdanganya mtu huyo kwa njia yoyote ile. Kwa kuwa na akili nyingi na ufahamu mkubwa, watu walio na herufi "M" kwenye kiganja hugundua kwa urahisi kuwa wamedanganywa au wamepotoshwa.
Wanawake ambao wana herufi "M" kwenye kiganja wana ufahamu (akili) wenye nguvu zaidi kuliko wanaume, hata kuliko wale wenye herufi "M" pia. Wamejaaliwa uwezo wa kusimamia na kuvuka vikwazo vyovyote maishani, na kujua jinsi ya kutumia rasilimali na fursa zinazopatikana.
MAANA YA HERUFI "M" KIGANJANI KWAKO
- ustadi wa uongozi yaani kuongoza vizuri kwenye jambo lolote
- utajiri (mtiririko rahisi wa pesa)
- wenye matumaini, furaha
- fursa nzuri kumimimika
Pia ishara hii ni tabia kwa manabii. Kwa hiyo ukiwa una alama hii mkononi mwako, wewe kweli ni mtu maalum katika ulimwengu huu.
View attachment 2370789
View attachment 2370794
Ishaibwa hiyo itafute irudiNina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko
Nairudishaje mkuu?Ishaibwa hiyo itafute irudi
Usitishike ndugu hakuna cha kuibiwa nyota nadhani kuna maelezo fulani yametolewa tofauti ndio maana yanakupa mkanganyiko.Nairudishaje mkuu?
Jichome moto........maana huna dhambi bali laaanaNina M mikono yote miwili,ila sioni hiyo flow ya madusko