Alama ya herufi "M" kiganjani

Omba NMungu akusaidie ,ndugu hakuna anayetajirika kwa sababu hizo
 
Mimi mbona yote kinyume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi viganja vyangu vyote vina alama ya herufi M, kwenye swala akili na uwezo wa kupambanua mambo najikubali Mungu amenipa uwezo Mkubwa sana, huwa nawazoom Tu watu wanavyopata ugumu kuchanganua mambo tena wakati mwingine mambo mepesi kabisa, tukija kwenye swala la utajiri mmh! bado nasubiri... Lakini pamoja na yote haya mara nyingi sisadiki kwenye abstract and myth kama hizi ambazo hazina uthibitisho wa kisayansi au ushahidi wenye uliopembuka na yakinifu
 
Nairudishaje mkuu?
Usitishike ndugu hakuna cha kuibiwa nyota nadhani kuna maelezo fulani yametolewa tofauti ndio maana yanakupa mkanganyiko.
Badala ya kusema watu wenye herufi M wanakuwa na hela sana sio sahihi ila badala yake ilitakiwa aseme watu wenye herufi M huwa wana bahati,na bahati inaweza ikawa ni ya kupata pesa,kupata kazi,kupendwa na wanawake,kupendwa na jamii insyokuzunguka zote hizi ni bahati.
Na pesa haiji yenyewe bila kuwekewa mitego yaani ni lazima ujitume kwanza na kuwa mbunifu ndipo pesa ije,labda cha kujiuliza ni je kwenye kupata michongo mbalimbali ya kazi ikoje kwa upande wako?na unapambana kwa kiasi gani?hili ndilo la msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…