Mwamba anataka tumpiganie Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob. Hajui kwamba huyu Mungu anajipigania mwenyewe. Na hajawahi kushindwa jambo lake.
Alishindwa Nabukadneza Mfalme wa Babylonian, aliyekuwa na taasisi za kufundisha uchawi, ulozi, kuongea na wafu, kusoma nyota nk ndio itokee leo? HAIWEZEKANI.
View attachment 1832314
View attachment 1832316
View attachment 1832317