Alama za mwezi na nyota katika majengo ya misikiti

Alama za mwezi na nyota katika majengo ya misikiti

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Hizi ni alama kuu ambazo hupatikana katika majengo ya kufanyia ibada takatifu katika dini ya Kiislamu ambayo hujulikana kama msikiti(misikiti).Alama hizi ni mwezi mpevu pamoja na nyota.


Crescent-and-star-islamic-symbol.jpg

Historia yake:
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya kihistoria, hizi alama zilianza kutumika kuanzia karne ya kumi na tano na hii ni baada ya dola ya Ottoman kuishinda dola ya Byzantine (Himaya ya kirumi ya Ugiriki) na hatimaye kuliteka makao makuu ya jiji lao kuu yaliyojulikana kama Constantinople (Instabul kwa sasa).

Hizi alama za mwezi mpevu na nyota zilikuwa zikitumika na himaya ya Byzantine, hivyo wa Ottoman walizichukua na kuziongezea pamoja na kuzitumia katika maeneo mbalimbali.


Katika kujiongezea maeneo, Ottoman waliendelea kuvamia maeneo mbalimbali hasa Mashariki ya Kati na Afrika ya Kaskazini ambako imani ya dini ya Kiislamu ilikuwa tayari imeota mizizi.

Himaya ya Ottoman ilifanikiwa kuwashinda wenyeji wa maeneo haya na hivyo ilifanikiwa kuyakalia na kuyatawala maeneo haya kwa muda mrefu.
Maswali: (Kwa wanazuoni ,wajuzi na wabobevu wa dini ya kiislamu)

  1. Je, uwepo wake ni sahihi??
  2. Kama siyo sahihi kwa nini haziondolewi???
  3. Zilikuwepo wakati wa Mtume???
  4. Kwanini hazikuwepo wakati wa Mtume ????
  5. Quran inaelezeaje juu ya uwepo wa hizi alama?
Nb: 1. Vyanzo vingi ni vya Kimagharibi kwa hiyo upotoshaji au chumvi havikosekani.

Nb 2.Nia ni kujifunza na kuelekazana na siyo kubishana.


Nb 3.Samahani kwa wote ambao watakuwa wamekereka.
 
Hakuna ambae amekerekwa mkuu tuko sambamba wote asante kwa eLimu
 
Mbona uzi upo humu unaoelezea kuhusu hizo alama na maana yake? Pia ukiacha hizo, kuna alama pia ya "uume" kwenye baadhi ya misikiti na maana yake ipo hapa? Tukishajadili humu miaka hiyo ila tutaconclude "kuwa ni nini wanachoabudu" Symbol yoyote inahusiana na kile ukiaminicho au ukipendacho ndio maana "tunaambiwa tutapewa wanawake bikra weupe wenye macho Meusi 72 ili tuwashughulikie mbele za allah " huku "akitupa nguvu ya kushugulikia wanawake wake 1000 kwa siku" na "pepo yetu ikiwa katikati ya mapaja yao"
 
Mbona uzi upo humu unaoelezea kuhusu hizo alama na maana yake? Pia ukiacha hizo, kuna alama pia ya "uume" kwenye baadhi ya misikiti na maana yake ipo hapa? Tukishajadili humu miaka hiyo ila tutaconclude "kuwa ni nini wanachoabudu" Symbol yoyote inahusiana na kile ukiaminicho au ukipendacho ndio maana "tunaambiwa tutapewa wanawake bikra weupe wenye macho Meusi 72 ili tuwashughulikie mbele za allah " huku "akitupa nguvu ya kushugulikia wanawake wake 1000 kwa siku" na "pepo yetu ikiwa katikati ya mapaja yao"
Bure kabsa we mgalatia
 
Hii kitu ya Alama ya mwezi na nyota kila ninaye muuliza huwa sipati majibu sahihi.
 
Naona dini inayofungisha ndoa za jinsia moja sehemu takatifu imevamia uzi wazee wanaopigania homosexuality mapaka wanaandamana.
 
Back
Top Bottom