Alarm ya gari inapiga kelele gafla bila kufanywa chochote na haitaki zima na gari imejifunga

Alarm ya gari inapiga kelele gafla bila kufanywa chochote na haitaki zima na gari imejifunga

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Msaada wakuu,

Uzuri nilishaiegesha nipo zangu ndani nasikia mikelele, tatizo nini?

Kwa anayefahamu anielekeze.Kwasasa nime disconnect battery ya gari ndio imeacha kelele ila nikiconnect tu, kelele mtindo mmoja.
 
Itakuwa wajasiriamali walipita hapo kuangalia chochote
Aah wap,mapema sana hii,af ni ndan ya gate hata taa kuzima sjazima huyo mwiz atakua kiboko,af huku hamna wez mkuu,ni ndan ndan sana
 
Ilishanitokea. Zima gari kabisa toka nje na ulock kwa alarm. Then unlock alafu washa gari uondoke zako ....
 
Achana na Alarm weka Tracking device
nadhan na hii yangu ni hyohyo,maana kitabu chake cha manual kina mambo meng had najiulizaga hiv hii ikitokea ika mulfunction inakuaje,si ndo mambo ya kuzima gat huku inatembea,maana ina mambo meng,yaan hata kama mtu kaichkua naweza nika izima huku inatembea,halaf pia,ina ma panick alert kibao,..anyways sina uhakika lakin,
 
mlango nmekuta haujafungwa vzur ila nmeufunga fresh tu lakin bado had mda huu,tatzo lilelile
Isijekuwa umeweka gia zako sehemu ya neutral badala ya packing [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Ilishanitokea. Zima gari kabisa toka nje na ulock kwa alarm. Then unlock alafu washa gari uondoke zako ....
Imegoma na gar haitak waka,ila alarm inapiga kelele za kufa mtu,..yaan hapa nme disconnect battery ndo imenyamaza ila nikiunga battery tuu kelele mwanzo mwisho
 
Isijekuwa umeweka gia zako sehemu ya neutral badala ya packing [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Tehtehte,ngoja nkaangalie tena maana nilishachoka nkaingia ndan nilale had kesho,hahahah,ngoja nkachek
 
Back
Top Bottom