Alarm ya gari inapiga kelele gafla bila kufanywa chochote na haitaki zima na gari imejifunga

Alarm ya gari inapiga kelele gafla bila kufanywa chochote na haitaki zima na gari imejifunga

Gia ziko fresh,kila kitu kiko sawa,..asee jii kitu had kesho tena na hiv imegoma kuwaka sjui utakuaje kesho asubuh,..itabid nimwite fund tu aje ale fweza ya bure .daaah
Pole sana wazoefu watagundua tatizo ni nini
 
Msaada wakuu,...uzur nilishaipark,...nipo zangu ndan naskia mikelele tatzo nin,

Kwa anaefaham anielekeze..kwasasa nme disconnect battery ya gar ndo imeacha kelele ila nikiconnect tu,kelele mtindo m1

Ukishamaliza kupata ufumbuzi wake jitahidi uihamishie katika Simu yako ili Kesho ikuamshe uweze kuwahi Foleni na Kazini kwani imeonyesha mafanikio mazuri.
 
Ukishamaliza kupata ufumbuzi wake jitahidi uihamishie katika Simu yako ili Kesho ikuamshe uweze kuwahi Foleni na Kazini kwani imeonyesha mafanikio mazuri.
Imegoma mazima,nimeamua niiache tuu,nmedisconnect battery ndo imenyamaza ila,nikiconnect battery kelele kama kawaida na ku start engene imegoma.hapa nihesabie kumwita fund tuu aje ale pesa ya bure maanina
 
Imegoma mazima,nimeamua niiache tuu,nmedisconnect battery ndo imenyamaza ila,nikiconnect battery kelele kama kawaida na ku start engene imegoma.hapa nihesabie kumwita fund tuu aje ale pesa ya bure maanina

Gari za ' mkopo ' huwa zinasumbua sana Alarm na Battery sijui kwanini Mkuu.
 
Gari za ' mkopo ' huwa zinasumbua sana Alarm na Battery sijui kwanini Mkuu.
Hahaha.pole sana,bahat mbaya sijawai kopa gar maishan mwangu,..na sitokuja kopa gar hata sku1,..nenda pale yard ya wapakistan mataa ya namanga af uliza watakwambia mi ni nani na hua nanunuaje gar pale,

N.b mi ni m1 wa executive customers pale nafahamika vzur,..usikariri bwana gentamycin
 
Hahaha.pole sana,bahat mbaya sijawai kopa gar maishan mwangu,..na sitokuja kopa gar hata sku1,..nenda pale yard ya wapakistan mataa ya namanga af uliza watakwambia mi ni nani na hua nanunuaje gar pale,

N.b mi ni m1 wa executive customers pale nafahamika vzur,..usikariri bwana gentamycin

Na huwezi hata siku moja kukuta Matajiri kama akina Bill Gates, Carlos Slim, Bakhressa na Mo Dewji ' wakijitapa / wakijisifu ' hivi kama Wewe isipokuwa hii tabia ya ' Kishamba / Kimbwigira ' ya ' mashauzi ' huwa tunayo sana akina Sisi ( Mimi na Wewe ) ambao ni ' Masikini ' wa Kutukuka na huwa ' tunabahatisha ' tu kupata ' Vijipesa ' uchwara.
 
Passo is an advanced engine-powered wheelbarrow.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom