Jackal Malinza
Member
- Aug 28, 2013
- 33
- 4
Mimi naona wote wanamakosa, hivi TCU hawakuona kwamba JKT wamesema AWAMU YA 3 ni mwezi huu wa 9? na je JKT hawakuona na tena walitangaza hadi walitangaza mpaka redioni vyuo vinafungua na waziri ameaprove kama waliona kuna makosa y wasingekaa nyuma ya pazia na kujadiliana kwa kina na kukubaliana, hata kama jeshi wanasheria lakini wanatakiwa wajue nao wapo chini ya katiba ya TZ so na wengine wanahaki pia hivyo wasifanye mambo watakavyo, jambo walilolifanya limeonyesha udhaifu kwa jeshi, TCU, serikali na vijana hata kama wataenda watakwenda na kinyongo hivyo hato huo uzalendo wataofuzwa utakuwa hauna faida hatatone na pia hii itafanya vijana waone na kudharau jeshi hivyo hata migomo chuo itatokea tu kutokana na kwamba vijana kupewa mafunzo wakiwa na kinyongo na pia kudharau jeshi, kiukweli jeshi wamejishushia heshima pamoja na serikali, na nadhani itakuwa ni busara na hekima endapo kawambwa na naibu wake wakijiuzulu kuonyesha uwajibikaji wao maana waziri wa ulinzi na waziri wa elimu wanawasiliana y leo wote watofautiane? inamaana kuna makundi katika baraza la mawaziri. Hapa ndipo wanaanza kuwafanya vijana waone wote hawafai na ule usemi wa mapinduzi huletwa na vijana naona unaelekea kutimia, muda ukifika serikali itajutia maamuzi na vioja vyake