Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,446
- 3,184
Hatari yule mtuWale wamama akawakusanya wakapigwa jua na vitoto vyao bila ishu....mara huku biti ole wake anaetaka nyongeza ya mshahara atawapiga vibokoš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari yule mtuWale wamama akawakusanya wakapigwa jua na vitoto vyao bila ishu....mara huku biti ole wake anaetaka nyongeza ya mshahara atawapiga vibokoš¤£
Makonda alikuwa anasaka umaarufu tu,Jiji la makonda lilikua limechangamka sana kila siku kuna kitu kipya....jiji halipoi ukijumlisha na gwajima na da mange aiiiiii hadi joto linapungua.
Huyu mleta uzi bila shaka katumia masaburiHuwa mnawaza kutumia kiungo gani?.
Unaogopa kupimwa tezi dume au unaogopa kile kidoleMakonda alikua na kashi kashi mara atake kutupima tezi dume Kwa lazima mara aite wamama waliotelekezewa watoto mara aseme kuoga lazima ili mradi akiongea lazima atoe Boko!
Si bora kidole Cha dokta ye anataka aweke chake! Sina imani kama yule jamaa ni mzimaUnaogopa kupimwa tezi dume au unaogopa kile kidole
Kwenye ile inshu ya wamama nakumbuka kuna dada mmoja alitelekezewa kitoto cha kichina [emoji2],nadhan yule ndio alisaidika japo sina hakika sababu taarifa zake zilitrend sana[emoji1787][emoji2]Wale wamama akawakusanya wakapigwa jua na vitoto vyao bila ishu....mara huku biti ole wake anaetaka nyongeza ya mshahara atawapiga viboko[emoji1787]
Sema ile ishue ilionesha udhaifu wa wanaume . Aise hata ukisingiziwa usitelekeze mtoto. Ni big nooKwenye ile inshu ya wamama nakumbuka kuna dada mmoja alitelekezewa kitoto cha kichina [emoji2],nadhan yule ndio alisaidika japo sina hakika sababu taarifa zake zilitrend sana[emoji1787][emoji2]
Ni jambo rahisi sana kuliongoz hili jiji kuliko mkoa wa mbeyaSijui kumekuwa na changamoto gani dar zaidi ya Kariakoo, hili jiji hata form four anaweza liongoza, hemu sema a real value aliyoongeza!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makonda alikua na kashi kashi mara atake kutupima tezi dume Kwa lazima mara aite wamama waliotelekezewa watoto mara aseme kuoga lazima ili mradi akiongea lazima atoe Boko!
Kweli ulitokea Kwako hujaoga bashite anakupa sabuni na anakuogeshaJiji la makonda lilikua limechangamka sana kila siku kuna kitu kipya....jiji halipoi ukijumlisha na gwajima na da mange aiiiiii hadi joto linapungua.