Albert Chalamila: Mwanaume Achana na Mambo ya Kupima DNA, kikubwa Shukuru Mkeo Kazaa Binadamu

Albert Chalamila: Mwanaume Achana na Mambo ya Kupima DNA, kikubwa Shukuru Mkeo Kazaa Binadamu

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni Maneno ya Hekima ya Mheshimiwa Albert Chalamila,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam.ambaye amepata bahati kubwa sana ya kuongoza takribani majiji matatu Makubwa hapa nchini, yaani Jiji la Mbeya,Mwanza na Sasa Jiji la Dar es salaam.

Kumbuka pia ameongoza hata mkoa wa Kagera.kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa mwenye uzoefu mkubwa na wa kutosha katika uongozi.

Ambapo yeye anasema ya kuwa ukipata mtoto haina sababu wala haja ya kuanza kuhangaika kuanza habari za kupima DNA.kikubwa ni kushukuru kuwa Mkeo Kazaa Binadamu.
Screenshot_20240811-104146_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Attachments

  • Screenshot_20240811-104146_1.jpg
    Screenshot_20240811-104146_1.jpg
    209.1 KB · Views: 7
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni Maneno ya Hekima ya Mheshimiwa Albert Chalamila,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam.ambaye amepata bahati kubwa sana ya kuongoza takribani majiji matatu Makubwa hapa nchini, yaani Jiji la Mbeya,Mwanza na Sasa Jiji la Dar es salaam.

Kumbuka pia ameongoza hata mkoa wa Kagera.kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa mwenye uzoefu mkubwa na wa kutosha katika uongozi.

Ambapo yeye anasema ya kuwa ukipata mtoto haina sababu wala haja ya kuanza kuhangaika kuanza habari za kupima DNA.kikubwa ni kushukuru kuwa Mkeo Kazaa Binadamu.View attachment 3066635

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe bwana unaishi kwa kufanya kazi gani ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni Maneno ya Hekima ya Mheshimiwa Albert Chalamila,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam.ambaye amepata bahati kubwa sana ya kuongoza takribani majiji matatu Makubwa hapa nchini, yaani Jiji la Mbeya,Mwanza na Sasa Jiji la Dar es salaam.

Kumbuka pia ameongoza hata mkoa wa Kagera.kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa mwenye uzoefu mkubwa na wa kutosha katika uongozi.

Ambapo yeye anasema ya kuwa ukipata mtoto haina sababu wala haja ya kuanza kuhangaika kuanza habari za kupima DNA.kikubwa ni kushukuru kuwa Mkeo Kazaa Binadamu.View attachment 3066635

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas kama mkeo akijifungua mtoto chotara wa kiarabu wakati wewe na yeye ni wabantu utakubali?
 
dah hili suala la kupigwa mtoto sio pos mh inauma hatuwez kuacha lipite hvhv bora nidhulumiwe pesa sio kupewa damu ya mtu mwngine niilee bila ya kujua ntaua mtu aisee
Kwa hiyo utakuwa unapima kila mtoto anayezaliwa?😃😃😃 Ukikuta ni wa kwako utasemaje? Huoni utakuwa umemuathiri kisaikolojia mkeo? Huoni kuaminiana kutakuwa kumekwisha? Huoni hata upendo kutoka kwa mkeo utakwisha kwa kujuwa kuwa anaishi na mtu ambaye hana imani naye?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni Maneno ya Hekima ya Mheshimiwa Albert Chalamila,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam.ambaye amepata bahati kubwa sana ya kuongoza takribani majiji matatu Makubwa hapa nchini, yaani Jiji la Mbeya,Mwanza na Sasa Jiji la Dar es salaam.

Kumbuka pia ameongoza hata mkoa wa Kagera.kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa mwenye uzoefu mkubwa na wa kutosha katika uongozi.

Ambapo yeye anasema ya kuwa ukipata mtoto haina sababu wala haja ya kuanza kuhangaika kuanza habari za kupima DNA.kikubwa ni kushukuru kuwa Mkeo Kazaa Binadamu.View attachment 3066635

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Siku akigongewa ndipo akili zitamuingia kichwani maana sasa hivi amezikalia
 
Ndugu zangu Watanzania,

Haya ni Maneno ya Hekima ya Mheshimiwa Albert Chalamila,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam.ambaye amepata bahati kubwa sana ya kuongoza takribani majiji matatu Makubwa hapa nchini, yaani Jiji la Mbeya,Mwanza na Sasa Jiji la Dar es salaam.

Kumbuka pia ameongoza hata mkoa wa Kagera.kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa mwenye uzoefu mkubwa na wa kutosha katika uongozi.

Ambapo yeye anasema ya kuwa ukipata mtoto haina sababu wala haja ya kuanza kuhangaika kuanza habari za kupima DNA.kikubwa ni kushukuru kuwa Mkeo Kazaa Binadamu.View attachment 3066635

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sawa bwana Lucas Mwashambwa nadhani ujumbe unaufanyia kazi.
 
dah hili suala la kupigwa mtoto sio pos mh inauma hatuwez kuacha lipite hvhv bora nidhulumiwe pesa sio kupewa damu ya mtu mwngine niilee bila ya kujua ntaua mtu aisee
Kulea damu ya mtu mwingine haiumi sana hasa ukiwa unajua ukweli, ila inaumaa sana ukiwa unalea damu ya mtu mwingine wakati huo huo ukizani kua hiyo ni damu yako kwa asilimia mia!!
 
Kwa hiyo utakuwa unapima kila mtoto anayezaliwa?[emoji2][emoji2][emoji2] Ukikuta ni wa kwako utasemaje? Huoni utakuwa umemuathiri kisaikolojia mkeo? Huoni kuaminiana kutakuwa kumekwisha? Huoni hata upendo kutoka kwa mkeo utakwisha kwa kujuwa kuwa anaishi na mtu ambaye hana imani naye?
Kujiridhisha jambo lolote lile,ikiwemo hadi kupima DNA siyo kosa la jinai, kwa hiyo huyo atakae kasirika kisa tu unataka kujiridhisha akapimwe akili yake!!
 
Back
Top Bottom