Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa uchawa upo wapi hapo wakati nimewaleteeni habari ya maneno ya hekima kutoka kwa MheshimiwaLuka nna hakika ingekua watu wanajitokeza live humu ungeng'olewa kichogo wewe wallah wewe ni chawa mmoja hatari sana
We hayo ukiyaona ni maneno ya hekima na wewe Luca unazingua we jamaa wewe kuna muda uwe unakosoa we muda wote unabubujikwa machozi tuuu ,sasa mkeo azae mchina na wewe si mlugulu wewe alafu ufatilize maneno ya huyo jamaa yakoSasa uchawa upo wapi hapo wakati nimewaleteeni habari ya maneno ya hekima kutoka kwa Mheshimiwa
Akileta mchina nitamwambia ampeleke China kwao.We hayo ukiyaona ni maneno ya hekima na wewe Luca unazingua we jamaa wewe kuna muda uwe unakosoa we muda wote unabubujikwa machozi tuuu ,sasa mkeo azae mchina na wewe si mlugulu wewe alafu ufatilize maneno ya huyo jamaa yako
Unataka nini sasa.? Humuamini mke wako?aache mawazo ya kizamani, walioleta vipimo vya DNA wanazo sababu, Kila mtu alee watoto wake.
kumbe!!Mheshimiwa Chalamila anahusika na kugusa Maisha ya wana Dar tu.lakini Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anagusa maisha ya mamilioni ya watanzania ndani ya nchi na nje ya nchi.wote wanafikiwa na Mama na kupata matumaini makubwa kila uchao.
Inaonekana ukoo wao wote wanaishi kwa kujikomba kwa watu na uchawa uliotopea !Wewe bwana unaishi kwa kufanya kazi gani ?
Mimi naishi kwa kazi za mikono yangu.Inaonekana ukoo wao wote wanaishi kwa kujikomba kwa watu na uchawa uliotopea !
Hata kupumuliwa kisogoni nayo ni kazi ya mikono yako !Mimi naishi kwa kazi za mikono yangu.
Endelea na ujinga wakoHata kupumuliwa kisogoni nayo ni kazi ya mikono yako !
Mimi nimekusapoti kuwa ni kweli unaishi kwa kazi ya mikono yako ila wewe ww ni "punga" sasa kosa langu ni lipi ?Endelea na ujinga wako
Tunaomba jibu haraka Mr Lucas pliz !Lucas kama mkeo akijifungua mtoto chotara wa kiarabu wakati wewe na yeye ni wabantu utakubali?