Albert Chalamila: Mwanaume Achana na Mambo ya Kupima DNA, kikubwa Shukuru Mkeo Kazaa Binadamu

kwa nn husingesema chalamila ametufikia wakazi wa dar.....,..badala yake ukasema mama..... huoni kuwa haujamtendea haki mr chala?
Mheshimiwa Chalamila anahusika na kugusa Maisha ya wana Dar tu.lakini Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anagusa maisha ya mamilioni ya watanzania ndani ya nchi na nje ya nchi.wote wanafikiwa na Mama na kupata matumaini makubwa kila uchao.
 
Kwa sbb yeye ni bibgwa wakutembea na wake za watu na kuwapa mimba ndo anaogopa asijekugundulika
 
SitakubaliπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ na ni lazima nitamuuliza ephen kama kwenye ukoo wao kuna machotara.
Kwa hiyo unaona umuhimu wa kupima DNA pale unapoona kuna hali kutilia shaka. Watu hawapimi tu hadi inapoonekana viashiria kama mke kuwa mwingi au muonekano wa mtoto kufanana na mtu unayemtilìa shaka kuwa anakumegea mkeo. Chalamila hapo ametoa book. Ila ephen_ namjua siyo mtundu ametulia labda umzingue mwenyewe.
 
ephen_ namjua siyo mtundu ametulia labda umzingue mwenyewe.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hata mimi namuamini sana ephen wanguu na ndio maana nampenda sana..ila wewe najuwa unamtamani sana lazizi wangu ephen.mate yanakutoka kama fisi. Sasa ole wako nije kusikia unajaribu kummendea utaona kitakachokukuta.
 
Wewe bwana unaishi kwa kufanya kazi gani ?
Kaajiriwa pale Lumumba kwa kazi ya kumsifia bibi pamoja na kuanzsisha threads za hovyo kama hizi zinazosifia watu wajinga kama akina Chalamila. Malipo yake buku 7 tu kwa siku (sawa na 210,000 kwa mwezi).
Mxiuuuuu!!
 
Kaajiriwa pale Lumumba kwa kazi ya kumsifia bibi pamoja na kuanzsisha threads za hovyo kama hizi zinazosifia watu wajinga kama akina Chalamila.
Mwaka huu utakufa tu kwa presha na roho mbaya yako.
 
Sisi zamani upimaji wa Vinasaba ulikuwa haupo, lakini tulikuwa tunapima kwa kudondosha Shilingi Mtoto akishtuka tunasema huyu shilingi itakuwa haimdondoki kama Baba yake.

Baada ya hapo tunaanza kumuangalia kuanzia miguu pua na kujua kuwa hii mbegu ni yangu.

Kama nimechapiwa na Braza au Bwana mdogo hakuna tatizo hilo ni Zizi moja.
 
Kwani lazima ajue unampima mtoto?
 
Unapima tu kama kuna mazingira ya kutia shaka. Na unapima kiintelijensia kama ukikuta ni wako unapiga kimya .
 
Lucas kama mkeo akijifungua mtoto chotara wa kiarabu wakati wewe na yeye ni wabantu utakubali?
Lucas ni mjinga mmoja ambaye anaamini kwamba kila mwanasiasa wa upande wake anapozungumza jambo kwake ni sahihi na halina haja ya kutafakari na kuona makosa katika utamkaji wake kwa jamii na hata katika ulimwengu wa kiroho. Ilimradi tu tamko lake limetolewa na mwanasiasa huyo.

Ni vyema Huyu mjinga akafahamishwa kwamba yapo madharimakubwa katika ulimwengu wa kiroho na kimwili katika swala la mwanaume kulea mtoto asiye wake kibaiolojia na wala pasipo ridhaa yake. Hapa tunazungumzia kwamba kuna utofauti mkubwa wa kumlea mtoto ambaye mwanaume anajua dhahiri kabisa sio wake na kwamba alimtwaa mkewe akiwa na mtoto huyo. Hii ni tofauti na mtoto wa kusingiziwa. Binadamu ni zaidi ya huu mwili tuaouona. Mwashambwa ni ameamua kuwa Feminist na kupanua uwanja wa wanawake kusaliti ndoa zao kwa kisingizio cha kuchanganya damu au kukidhi matamanio yao ya kimwili na kupata vitu vya thamani nje ya ndoa zao halali. Malezi yamekua magumu na nyumba zimegeuka viwanda vya kuzalisha wanadamu wasiokua na utu, heshima, hofu ya Mungu na ubinadamu badala ya kuwa familia ambamo kuna chimbuko la watu bora katika imani na jamii kwa ujumla.

Kutokana na wimbi la ukahaba wa kimtandao kwa kupitia mitandao ya kijamii, ni dhahiri kwamba wanawake wengi ni makahaba wa siri kuliko tunavyowaona hadharani. Hujikuta wanapata mimba na kukosa pa kuzipeleka isipokua kuzileta nyumbani kwao na kuwabambika waume zao. Hili limekua dhahiri pale wizara ya afya ilipoweka bayana kwamba card za cliniki zipo mbili mbili kuetgemea na uwezo au hadhi ya baba. Malezi yanakua magumu sababu hakuna Chemistry yoyote itakayosababisha loyalty kwa namna yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…