OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huyu jamaa huu usenge kama huu ameurudia. hii ni afya ya akili kwa kiongozi kutoa kauli kama hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu acha matusi yako hapa wewe.Huyu jamaa huu usenge kama huu ameurudia. hii ni afya ya akili kwa kiongozi kutoa kauli kama hii
Wangekuwa wababaishaji ccm isingewaogopaCHADEMA haina watu wa kufanya maandamano maana watanzania wanafahamu kuwa ni chama cha kibabaishaji
Kwa hiyo polisi wapo kwa ajili ya kuidhibiti Chadema tu. Pumbavu kabisa huyu mvuta bangi.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewaeleza wananchi wa Segerea kuwa suala la vibaka lipo katika ngazi ya mitaa hivyo wahakikishe kupitia ulinzi shirikishi wanamaliza jambo hilo, kwani mkoa unashughulika na majambazi.
Soma Pia: Albert Chalamila: Sasa naunda task force kubwa itakayokuwa na silaha
Huyu mpumbavu akishavuta bangi anajionaga yeye ni nyati,pumbavu kabisa.Huyu RC analazimisha kutumbuliwa. Mbona ana maneno sana?
Kwani hawapelekwi? wanapelekwa na bado wanarudi tena maeneo yale yale kufanya uhalifu.Mkiwa kamata wapelekeni polisi.
Is this English or Inglishi?Mentally he is sick? vibaka ndo hatari zaidi kwa raia