Albert Einstein: Kutoka kuwa kilaza darasani hadi kuwa nguli wa fizikia

Kwani sisi Tz tunashwnda wap hadi tusiweze? Tufanyaje ili iwezekane?
Cc
Palantir
 
Majiniazi mliogundua kukeketana sio? Shitholes bwana
 
Huwa nahisi kuna siri kubwa kwenye vyakula tunavyo kula, ukiachilia mbali mfumo wetu wa elimu. Mbona hatugundui na kuvumbua km wazungu? Japo tunapata AAA za PCM etc.
Sisi wazuri wa kusoma historia ya sayansi sio sayansi.Afrika tumenasa kwa sababu bado tunasumbuliwa na njaa nà maladhi na huwezi kuwa na nafasi ya kufanya utafiti kama bado unasumbuliwa na NJAA NA MALADHI
 
Watu wapo kwenye serious issue, ww analeta ujinga wako wa kisiasa. Au unafikiri wote sisi wanasiasa.
Kuketana ni siasa kumbe?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Sio lazima kuvumbua hats kujitengenezea mwenyewe vitu itakusaidia we elimu yetu inatulazimu tuwe watumwa unaona maproffesor walio kesha wakisoma miaka kibao Leo hii wanamwangukia makonda nakufuata anacho kisema haijalishi yuko sahihi au LA
Hii nchi yechu alie aribu mfumo wa kwanza ni Mwinyi Maana viwanda vyote vilikuwa na Expart wakati wa Nyerere Kawaondoa kuwa nchi haina fedha kilicho fuata ni kubaki na maghofu mpaka sasa tumebaki na walimu wenye fikra za kukoloniwa kazi kuvaa miwani kama fashion ukiangalia hadi nyerere anatoka madarakan tulikuwa sawa na China eti Leo wanatukopa kwa mashart nafuuu hii nchi bhana


Leo hii mtian wa hesabu watu wanapewa multiple choice kwa mbwembwe eti darasa LA saba wanafuta unamchukua mwalimu wa sekondar akafunsishe primary wakati kazoea kutreat watu wazima unadhan watoto atafundisha nini mwishowe unamwambia mtoto wa primary refer vurugu tupu
 
Reactions: o_2
Majiniazi mliogundua kukeketana sio? Shitholes bwana

Kila mtu ni jiniazi kwa upande wake. Ni jinsi gani tu unavyofanya kwenye vile unavyoviamini. Unaeza kuwa yeyote unaetaka kua.
 
Tanzania itaamka pale tu wasomi watakapo achana na siasa na kuzifuata professions zao. Ya ngoswe tuwaachie yakina ngoswe. Umesomea mambo ya uchumi kama lipumba fanya mambo ya uchumi. Umesomea mambo ya udaktari fanya udaktari.
 
Kwani sisi Tz tunashwnda wap hadi tusiweze? Tufanyaje ili iwezekane?
Cc
Palantir
Mambo mengi yanachangia tushindwe, kwanza wataalam hatuna, pili gharama za ununuzi wa mitambo ni kubwa, hizi nuclear plant zinahitaji maji mengi sana katika uendeshaji wake ingawa bahari tunayo. Changamoto kubwa ni kwamba sisi bado tupo tunasoma tu introduction of physics wenzetu wana deal na application of physics hapo ndio tunapoachana
 
Ifike mahali siasa ziwekwe pembeni, wasomi wengi wa Tanzania hawa-apply elimu wanayoipata vyuoni kwenye real life badala yake hukimbilia kwenye siasa.
 
Hakuwa mmarekani

Alikuwa ni muisrael pure alikuwa ujerumani Kabla ya Vita vya 2 vya Dunia kama ilivoa ada kuwa wayahudi wengi sana walikuwa ujerumani lkn hakuwa RAIA wa ujerumani

Baada ya Hitler kuanza kuwauwa wayahudi Albert Einstein pia alikamatwa mda huo vita vga 2 vya dunia vimeanza

Alipokamatwa tayari Hitler alikuwa ashaambiwa kuwa huyu MTU anaweza kuimaliza vita vya 2

Alipofikishwa kwa Hitler, Hitler alimwambia atengeneze Bomu litakaloifanya ujerumani kushinda vita huku akimwahidj kumpa Mali na uraia

Einstein akamwambia apewe masaa 48 wakamwachia

Einstein akatorokea USA ndipo akakutana na Raisi Roosevelt akaeleza kila kitu akaahidiwa uraia ili afanye yake

Einstein akaingia maabara akaja na michoro na namna ya kutengeneza hayo mabomu

Haya ndo mabomu 2 yaliyoiangsmiza Japana vita vya 2 vya dunia Hiroshima na Nagasaki

Ni.kazi.ya Alber Einstein
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…