eladimasale
Member
- Jul 30, 2015
- 7
- 7
Formal education imepoteza sana vipaji vya wasomi wetu, nafasi ya kuwaza na kubuni hamna kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi kuchangia mjadala wowote ule kuhusu Diamond na Zari au chupi la Nandy?!Mwenye maelezo kiundani ni veep E=MC^2 huweza tengeneza nuclear bomb?
Siyo kweli kwamba wasingefanikiwa kwa lolote.Jiulize hao wanasayansi wa kiafrica elimu zao walisomea wapi?,Je ni Aftica?,Ukichunguza utakuta karibia wote wamesomea masomo yao huko huko na research wamefanyia huko huko kwa wazungu.Wana mchango wao kama wanasayansi katika sehemu wanapofanyia kazi.Ila ukisema Wasingefanikiwa kwa lolote utakuwa unadanganya.Lets be realistic.PITIENI NA HUU UZI KUJUA KWA BILA WANASAYANSI WA AFRICA PIA AMERCA NA ULAYA WASINGEFANIKIWA KWA LOLOTE TATIZO NI TAMAA ZA WANASAYANSI WA AFRICA UZI HUU UNAFACT TUPU
Wanasayansi wa kiafrika ndio wanaoikuza Amerika na ulaya, kwanini wasiikuze Afrika yao