Albert Einstein: Kutoka kuwa kilaza darasani hadi kuwa nguli wa fizikia

Formal education imepoteza sana vipaji vya wasomi wetu, nafasi ya kuwaza na kubuni hamna kabisa.
 
Huyu jamaa kadri siku zinavyoenda nagundua alikuwa sio wa kawaida.
 
Siyo kweli kwamba wasingefanikiwa kwa lolote.Jiulize hao wanasayansi wa kiafrica elimu zao walisomea wapi?,Je ni Aftica?,Ukichunguza utakuta karibia wote wamesomea masomo yao huko huko na research wamefanyia huko huko kwa wazungu.Wana mchango wao kama wanasayansi katika sehemu wanapofanyia kazi.Ila ukisema Wasingefanikiwa kwa lolote utakuwa unadanganya.Lets be realistic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…