Albert Mangwair kumiliki gari kabla ya ghetto unaona kabisa palikuwa na shida pahala

Albert Mangwair kumiliki gari kabla ya ghetto unaona kabisa palikuwa na shida pahala

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
1719082473211.png

Albert Mangwair

Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msanii.

Anafunguka Ngwair kuwa mtu wa Bata ambaye anaweza kupata millioni Moja au mbili jioni ila kesho asubuhi akaamka ana kitu means hela yote imeisha kwenye kumbi za starehe mwendo wa kuchange location till morning.

Licha ya kuwa na wimbo unaozungumzia geto kitu ambacho kilutuinspire vijana wengi kutamani kumiliki magheto makali kitu cha ajabu Ngwair hakuwa na ghetto hilo analozungumzia bali alikuwa akiishi kwa Makaveli.

Makaveli anaendelea kuwa Ngwair alianza kumiliki gari kabla ya ghetto na alikuwa akitembea na nguo kwenye buti popote pale usiku utakapomkuta basi ndio hapohapo atakapoangusha.

Ni maisha ya aina gani kwa kijana ambaye unafame na unapata pesa kukosa sehemu ya kupaita kwako washikaji wanaweza kukupenda Kila mtu akawa anatamani uwe naye karibu kwa sababu una kipaji au unawafurahisha lakini washikaji haohao behind your back wanakushangaa na kukuona ni hopeless how come ushindwe kupanga hata room master ila batani unateketeza Hadi millioni.

PIA SOMA
- No Agenda: Maisha ya Ngwair alijiona New York akiwa Bongoland
 
Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msanii...
Maisha ni Siri kuna mengine mengi kumuhusu Jamaa Makaveli anaweza akawa hayajui akawa anajua sehemu ndogo tu ya kile anachokijua mengine ni Siri ya mwenye Siri
 
Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msanii...
Huyo makaveli ni nani?

Hizi tabia za kujifanya mnajua watu ni za ajabu sana. Ngwea alikuwa na maisha yake tena alishafikia stage nzuri ya kuwa na project zake nje ya muziki.

Ni vile tu mwishoni alipozama kwenye janga la uraibu ndio mambo yakaenda kombo which is normal kwa kijana kuna wakati unaweza poteza kabisa then baadae unarudi kwenye reli.
 
Huyo makaveli ni nani?
Hizi tabia za kujifanya mnajua watu ni za ajabu sana. Ngwea alikuwa na maisha yake tena alishafikia stage nzuri ya kuwa na project zake nje ya muziki. Ni vile tu mwishoni alipozama kwenye janga la uraibu ndio mambo yakaenda kombo which is normal kwa kijana kuna wakati unaweza poteza kabisa then baadae unarudi kwenye reli.
True or False?

True
 
Maisha ni Siri kuna mengine mengi kumuhusu Jamaa Makaveli anaweza akawa hayajui akawa anajua sehemu ndogo tu ya kile anachokijua mengine ni Siri ya mwenye Siri
Kutokuwa na geto sio siri
 
Huyo makaveli ni nani?
Hizi tabia za kujifanya mnajua watu ni za ajabu sana. Ngwea alikuwa na maisha yake tena alishafikia stage nzuri ya kuwa na project zake nje ya muziki. Ni vile tu mwishoni alipozama kwenye janga la uraibu ndio mambo yakaenda kombo which is normal kwa kijana kuna wakati unaweza poteza kabisa then baadae unarudi kwenye reli.
Kama alikuwa na project zake nje ya muziki ni kitu Sasa sisi kama mashabiki wa mangwair tutachukua Sheria dhidi ya Makaveli kuongea uongo
 
Ni ujana tu mkuu, sote tunapitia siwezi kum judge.
 
Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msani...
 
Kupitia mahojiano aliyofanya Skywalker Fredrick Bundala na Makaveli aliyekuwa mmiliki wa ghetto ambalo msanii mkali wa freestyle Ngwair akiishi amefunguka mengi kuhusiana na nyakati alizoishi na Ngwair kubwa zaidi ni lifestyle ya msani...
…pamoja na kutomiliki ghetto na bado akapta na Salama na wengineo wengi huku wenyi Maghetto wakiishia kutumia ghatama kubwa zaidi ya ghetto japo kupata salaam.

Wewe ishi utakavyo, acha wengine waishi wawezavyo huku wengine wakiishi kea malengo, dunia ni yetu sote.
Kuna walioenda nje ya nchi kusoma, halafu wakaridi nchuni, wengine wakabaki hukohuko, na kuna waliosoma nchini, wakapigika nchuni lakini wakaenda nje ya nchi wakatoboa zaidi ya wale waliotangulia zaidi ya miaka 10
 
Oya makaveli10 hebu njoo huku uthibitishe.
😂😂 Hapana mie sijasema hayo wananisingizia tu.

Mie mvivu sana kumfatilia mtu nje ya kazi yake, sababu huwa naona hayanihusu,(siwezi kuwa INSPIRED na hustle za mtu mwingine, kama njaa zangu haziniINSPIRE basi hakuna atakaeniINSPIRE 😂)

Sijawahi kumfatilia ngwair nje ya muziki wake,

kama nina kumbukumbu vizuri, niliwahi kuona kwenye gazeti enzi hizoo ngwair yupo na demu wa kizungu na iliandikwa wanaishi sinza, hivyo zaidi ya hapo sina nikijuacho
 
Back
Top Bottom