Mama Mchungaji, ni kijana wako wa kiume hapo nyumbani ndiyo kaweka hizi nyimbo 2 za Mangwair! Au ni wewe mwenyewe?Ngweair
YouTube hupafahamu achana na huko pia kwa vijana wa Library hupajui basi hata kugoogle kunakushinda..
Basi to location toa code somekaOk mi nimeicopy n kupaste kutoka google
Ile flow haiji kutokea mdau....Kuna ile ngoma yake ya mwisho mwisho kabla hajafa
No beef ft TID [emoji91][emoji91][emoji91]
Yani yule jamaa dah...Alikuwa answitch anavyotakaHivi ni mimi tu huwa naona Ngwair anasound kama Kurupt?
Ni mimi sema nimekosa hela ya studioMpaka sasa hajapatikana wa kumrithi Ngwair
Hiyo ya Ngwe,Mond na Blue inaitwa BBM kwanza hiyo beat sijawaji kuona...mikono ya P.Funk.Kuna ila ngwea,mr blue na mond ......dah mle ndani kila mtu alitimiza alichotakiwa kufanya
Halaf kuna nyingine siikumbuki jina ila kuna msitari anasema "wazanzibar wamechoka kutanga na nyika" katajwa dr ulimboka mle ndani
Halaf kuna ule mpini kaimba na jide.....ile ngoma inatembea nyakati zote haiwezi chuja
Pia huyu jamaa alimfutisha fid q verseHiyo ya Ngwe,Mond na Blue inaitwa BBM kwanza hiyo beat sijawaji kuona...mikono ya P.Funk.
Kuhusu wa zanzibar kutanga na nyika....Hiyo ndio track yangu bora kutoka kwa ngwea....Inaitwa MASIKINI WENZANGU FT MIRROR. inamadini vesi 3 zote ni[emoji91][emoji91][emoji91]
Na Jay Dee kuna sikiliza Mwana FA pia yumo....
Pia na Lady jay dee kuna pini linaitwa MAPENZI GANI[emoji119] Kama kuna mtu hajawahi lijua au liskliza tafadhali aisikilize aiseee...ile flow[emoji119][emoji91]
Fid Q alipotezwa vibaya kwenye CNN na kuna interview Fid mwenyewe alikiriPia huyu jamaa alimfutisha fid q verse
Fid q aliandikia gheto wiki na zaidi
Ngwear aliandikia studio ...😂😂😂
Hii ni kwa mujibu wa fid q mwenyewe
Kuna ile DEMU WANGU yuko na Mchizi Mox"Kujicheki mi nna kama laki nikawaambia machizi kinachofata mikasi"
Ngwair ni habari nyingine.
Yes ni ngoma ya CNN.....Fid alithibitisha mwenyewe....na juzi Producer Q the Don alisema pia..Pia huyu jamaa alimfutisha fid q verse
Fid q aliandikia gheto wiki na zaidi
Ngwear aliandikia studio ...[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni kwa mujibu wa fid q mwenyewe
Hii umetupeleka mchomo mkuuNgwea alimzaa Godzilla na Godzilla alimzaa Bilnass na Bilnass alimzaa Kontowa ambaye ndo rap bora na stylish bora anayechipukia kizaz hiki na tuzo juu....
So Albert Magwea bado anaishi bado tutaendelea kumsikiliza kupitia roho za marapa wapyaaa wengi............
R.I.p legendary Albert Magwea
Msanii wa Hip hop aitwaye FARID QUBANDA hakuwahi kufuts verse kwenye ngoma yoyote ile ambayo imesha rekodiwa,ila baada ya ya kutia Verse kwenye ngoma ya CNN na baadae kumsikiliza CowBoy UNYAMA alio ufanya ilibidi a change verse na kuandika nyengine ndo Ngoma hii tuna iskia sasa.Wanasema Albert Mangwair alikuwa rapper ambaye alikuwa mbele ya muda.
Hawajawahi kuacha kusema kila linapokuja suala la mbele ya muda kwenye mziki, Ngwair anazungumziwa sana.
Naombeni tujadili hapa na sisi wengine tupate faida. Ni kwa namna gani Ngwair alikuwa mbele ya muda? Tunaweza kupata mistari mingi kutoka nyimbo zake zenye asilimia 100 kwamba alikuwa mbele ya muda? Au hii imekaaje?
Sio kwa ubaya, tupate faida wengine ambao hatujui.
R.I.P Freestyle king Cowbama
Karibuni wadau.
#forgiveme
Ngwear ni wasanii wanaotokea mara moja kwa karneMsanii wa Hip hop aitwaye FARID QUBANDA hakuwahi kufuts verse kwenye ngoma yoyote ile ambayo imesha rekodiwa,ila baada ya ya kutia Verse kwenye ngoma ya CNN na baadae kumsikiliza CowBoy UNYAMA alio ufanya ilibidi a change verse na kuandika nyengine ndo Ngoma hii tuna iskia sasa.
Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Mama Mchungaji, ni kijana wako wa kiume hapo nyumbani ndiyo kaweka hizi nyimbo 2 za Mangwair! Au ni wewe mwenyewe?
Baada ya clouds kumtumia na kumtema akawachana kwenye no beef"Kujicheki mi nna kama laki nikawaambia machizi kinachofata mikasi"
Ngwair ni habari nyingine.
Ww na fid tumuelewe nani ndugu? Ok Fid kabadili vesi? Sasa tofauti iko wapi hapo? Kwann asipige ile ile kaweka nyingine? [emoji3][emoji3]Msanii wa Hip hop aitwaye FARID QUBANDA hakuwahi kufuts verse kwenye ngoma yoyote ile ambayo imesha rekodiwa,ila baada ya ya kutia Verse kwenye ngoma ya CNN na baadae kumsikiliza CowBoy UNYAMA alio ufanya ilibidi a change verse na kuandika nyengine ndo Ngoma hii tuna iskia sasa.
Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app