Albert Mangwair, Rapper aliyekuwa mbele ya muda

Albert Mangwair, Rapper aliyekuwa mbele ya muda

Kuna ila ngwea,mr blue na mond ......dah mle ndani kila mtu alitimiza alichotakiwa kufanya


Halaf kuna nyingine siikumbuki jina ila kuna msitari anasema "wazanzibar wamechoka kutanga na nyika" katajwa dr ulimboka mle ndani


Halaf kuna ule mpini kaimba na jide.....ile ngoma inatembea nyakati zote haiwezi chuja
 
Kuna ila ngwea,mr blue na mond ......dah mle ndani kila mtu alitimiza alichotakiwa kufanya


Halaf kuna nyingine siikumbuki jina ila kuna msitari anasema "wazanzibar wamechoka kutanga na nyika" katajwa dr ulimboka mle ndani


Halaf kuna ule mpini kaimba na jide.....ile ngoma inatembea nyakati zote haiwezi chuja
Hiyo ya Ngwe,Mond na Blue inaitwa BBM kwanza hiyo beat sijawaji kuona...mikono ya P.Funk.

Kuhusu wa zanzibar kutanga na nyika....Hiyo ndio track yangu bora kutoka kwa ngwea....Inaitwa MASIKINI WENZANGU FT MIRROR. inamadini vesi 3 zote ni[emoji91][emoji91][emoji91]

Na Jay Dee kuna sikiliza Mwana FA pia yumo....

Pia na Lady jay dee kuna pini linaitwa MAPENZI GANI[emoji119] Kama kuna mtu hajawahi lijua au liskliza tafadhali aisikilize aiseee...ile flow[emoji119][emoji91]
 
Hiyo ya Ngwe,Mond na Blue inaitwa BBM kwanza hiyo beat sijawaji kuona...mikono ya P.Funk.

Kuhusu wa zanzibar kutanga na nyika....Hiyo ndio track yangu bora kutoka kwa ngwea....Inaitwa MASIKINI WENZANGU FT MIRROR. inamadini vesi 3 zote ni[emoji91][emoji91][emoji91]

Na Jay Dee kuna sikiliza Mwana FA pia yumo....

Pia na Lady jay dee kuna pini linaitwa MAPENZI GANI[emoji119] Kama kuna mtu hajawahi lijua au liskliza tafadhali aisikilize aiseee...ile flow[emoji119][emoji91]
Pia huyu jamaa alimfutisha fid q verse
Fid q aliandikia gheto wiki na zaidi

Ngwear aliandikia studio ...😂😂😂


Hii ni kwa mujibu wa fid q mwenyewe
 
Pia huyu jamaa alimfutisha fid q verse
Fid q aliandikia gheto wiki na zaidi

Ngwear aliandikia studio ...[emoji23][emoji23][emoji23]


Hii ni kwa mujibu wa fid q mwenyewe
Yes ni ngoma ya CNN.....Fid alithibitisha mwenyewe....na juzi Producer Q the Don alisema pia..

SIKIA SASA.

FID Q Alifuta vesi akaandika nyingine sawa, na akatoka nje ya mada anaanza kwa kusema usiniite half ma niite man and a half. hapa kapaniki tayari...

Ngwea bado hakujali akamwambia fid afungue nyimbo kwa vesi yake.

Lkn fid alikula comeback moja ya nguvu tena kwa flow ya kinyama sana, the rest is history.

Cowbama[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ngwea alimzaa Godzilla na Godzilla alimzaa Bilnass na Bilnass alimzaa Kontowa ambaye ndo rap bora na stylish bora anayechipukia kizaz hiki na tuzo juu....
So Albert Magwea bado anaishi bado tutaendelea kumsikiliza kupitia roho za marapa wapyaaa wengi............
R.I.p legendary Albert Magwea
Hii umetupeleka mchomo mkuu

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Wanasema Albert Mangwair alikuwa rapper ambaye alikuwa mbele ya muda.

Hawajawahi kuacha kusema kila linapokuja suala la mbele ya muda kwenye mziki, Ngwair anazungumziwa sana.

Naombeni tujadili hapa na sisi wengine tupate faida. Ni kwa namna gani Ngwair alikuwa mbele ya muda? Tunaweza kupata mistari mingi kutoka nyimbo zake zenye asilimia 100 kwamba alikuwa mbele ya muda? Au hii imekaaje?

Sio kwa ubaya, tupate faida wengine ambao hatujui.

R.I.P Freestyle king Cowbama

Karibuni wadau.

#forgiveme
Msanii wa Hip hop aitwaye FARID QUBANDA hakuwahi kufuts verse kwenye ngoma yoyote ile ambayo imesha rekodiwa,ila baada ya ya kutia Verse kwenye ngoma ya CNN na baadae kumsikiliza CowBoy UNYAMA alio ufanya ilibidi a change verse na kuandika nyengine ndo Ngoma hii tuna iskia sasa.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
Msanii wa Hip hop aitwaye FARID QUBANDA hakuwahi kufuts verse kwenye ngoma yoyote ile ambayo imesha rekodiwa,ila baada ya ya kutia Verse kwenye ngoma ya CNN na baadae kumsikiliza CowBoy UNYAMA alio ufanya ilibidi a change verse na kuandika nyengine ndo Ngoma hii tuna iskia sasa.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Ngwear ni wasanii wanaotokea mara moja kwa karne
 
Msanii wa Hip hop aitwaye FARID QUBANDA hakuwahi kufuts verse kwenye ngoma yoyote ile ambayo imesha rekodiwa,ila baada ya ya kutia Verse kwenye ngoma ya CNN na baadae kumsikiliza CowBoy UNYAMA alio ufanya ilibidi a change verse na kuandika nyengine ndo Ngoma hii tuna iskia sasa.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Ww na fid tumuelewe nani ndugu? Ok Fid kabadili vesi? Sasa tofauti iko wapi hapo? Kwann asipige ile ile kaweka nyingine? [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom