Ni kweli lakini fid na young killer sio wachaga pili john ndio hujiita weusi kundi laoFid q na young killer wote wamefuga rasta ili wapate madem wa kizungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini fid na young killer sio wachaga pili john ndio hujiita weusi kundi laoFid q na young killer wote wamefuga rasta ili wapate madem wa kizungu
Hii ngoma ya Ngwair Majani aliiachia baada ya Ngwair kufariki. Unyama sana:
Na mathematics inatoka young killer bado hakuwa star kwenye gemuNi kweli lakini fid na young killer sio wachaga pili john ndio hujiita weusi kundi lao
Nje ya mada,kati ya Young killer na Roma nani anajua?Na mathematics inatoka young killer bado hakuwa star kwenye gemu
Ryme of magic attractionNje ya mada,kati ya Young killer na Roma nani anajua?
Ndo kumanisha nini?Ryme of magic attraction
Alimpoteza Stamina na Khaligraph kwenye ile ngoma ya NOW YOU KNOWRyme of magic attraction
R.O.M.ANdo kumanisha nini?
Una safari ndefu kidogo mkuu.Ndo kumanisha nini?
Ahahah dah huyo jamaa ni overrated sanaR.O.M.A
Huyo jamaa anakaa benchi kwa killerUna safari ndefu kidogo mkuu.
Anzisha uzi ili tùmjadili vizuri LangaJamani ngwea ni mnyama sana ila yupo kiumbe anaitwa Langa kileo asee jamaa alikuwa smart,njooni tumjadili kidogo na huyu
Huyu pia ni miongoni mwa watu wenye I.Q kubwa ila watu hawamuelewi anatembea mbele ya muda kaisikilize "mwanangu" vyote alivyoimba mle vilitokeaAlimpoteza Stamina na Khaligraph kwenye ile ngoma ya NOW YOU KNOW
Kubadili ndo kufuta mkuuWw na fid tumuelewe nani ndugu? Ok Fid kabadili vesi? Sasa tofauti iko wapi hapo? Kwann asipige ile ile kaweka nyingine? [emoji3][emoji3]
Huyu pia ni miongoni mwa watu wenye I.Q kubwa ila watu hawamuelewi anatembea mbele ya muda kaisikilize "mwanangu" vyote alivyoimba mle vilitokea
Mfano huu msitari 👇 aliimba kabla chochote akijatokea
Kaka yetu aliye hai na yuko happy? Yule chenga
Polepole haya mambo sasa ni msiba
Njoo chemba
Msitari mwingine huu 👇👇👇
.
Na ile biashara ya Bagamoyo baba alioisitisha?
Juzi mjomba alisema iendelee inasikitisha
Kwa hiyo kamsaliti baba eh? Ah ah sijamaanisha
Mama amuwangalie kaka yake kwa makini atamfelisha