Albert Mangwea (Special Thread)


Mimi nakumbuka tu kuwa MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA SI MAZURI NA YANAANGAMIZA MNO KAMA SIYO SANA VIJANA WETU kwa TAMAA ZA KIJINGA KAMA SIYO ZA KIPUMBAVU KABISA.
 
Nakumbuka alimkaza demu wangu kimyakimya...Dah gheto langu..alikula totozi wengi kupitia nyimbo hii
 
Ninapomkumbuka inanifanya niamini kuwa wasanii wa bongo wanajificha kwenye muziki/movie lakini wanabiashara yao kubwa kuliko tunayoijua.
 
Nakumbuka Kinjekitile na biashara yake.
The blame should go to Zizzou fashion.. Katuaribia vichwa vyetu vingi sana.. Ngwair Chidi Blue Bushoke ooops thanks to Magufuli kwa kupunguza awa wauaji mtaani.
 
Inatukumbusha kuwa ukimtuma mtu na kisha akafariki kabla ya kurudi kwako ni lazima utumie nguvu nyingi kulazimisha watu waamini unachotaka wewe nje ya ukweli.
 
nchi hii INA wauza ngada wengi sana!!!!Tumepiteza vijana wengi ikiwemo wasanii maarufu.....R I P Ngwear
 
...nadhani,kuna watu wana vijipu uchungu vya miku..d.u...marehemu hasemwi kwa mabaya nyie mbulumundu!
....afterall,mada inataka ni mazuri yapi unayakumbuka!
..ujuaji wa kijuha..ajidhaniaye amesimama ajitazame sana asije akaanguka!
Nani alipitisha sheria inayosema marehemu hasemwi kwa mabaya!? So kila kitu kifichwe tu hata kama yaliyofanywa na marehemu gizani yanaweza kuwa msaada kwa walio hai wasiyarudie!!
 
"Kuna wengine kwenye Game kitambo washapotea,nishawaambia msiguse maji kama hamuwezi kuogelea
Cheki wanavyotapatapa,hawana pa kutokea
Wameishiwa vya kuongea,wanabaki kumdiss ngwair
Coz Me ndo me,na hatuwezi kuwa pair
Na hata nikifa leo pengo langu halina SPEA"πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
CowObama.
YNWA
 
"Wengine mnapenda sana vya kupewa ndomana wengi wenu mnaishia kuchezewa
"Mnamegwa mnaachwa na hata mkiolewa (yeah..)
"Ndoa inajaa visa na kuonewa
"Mfano ngwea narudi muda ninaotaka na ukiniletea kibesi tu asubuhi talaka

"Si najua huna kitu zaidi ya begi lako
"Ila nisingethubutu endapo nyumba ni yako
"Najua hamuwezi kwenda haja ndogo mmesimama

"Ila mna uwezo wa kufanya kila cc tunachofanya

"Hata kuwa raisi mwanamke pia ana haki mradi tu awe na vigezo...mengine tutapata wapi

"Kama kusoma wote ruksa kusoma

"Bado biashara hata ufundi wa kushona

"Wenzenu wachache bungeni c mnaona

"Hata kuimba imbeni tu msione noma

"Kama sister P, Zay B,Stara,Ray C
"Je hamwezi kuwa mabinti kama Lady jaydee?(komandooo)

"Amini wote tumezaliwa watupu na kupata hutokana na juhudi tu za mtu

Hala
 
Mistari hii nuaikumbuka san
.....ila usimpe tungu sana mpaka akazima ..ukiona anaanza kulembua tu oil unapika,ujae imekaa vipi BWAWA AU KISIMA...kama vipi mikasi...kimyamya....[j mo ft ngwea kimyakimya]

........vip dj mziki wangu upigi hewani ila unasikiiza geto...hivi zoke za nani au hizi voko za mpigia NYETO....[ngwea tuko juu]

....tunachafua mama zao..wanadhama ya diamond tuna wabebe kwa free,tunatumia kondom japo wamaind kuzaa na sisi....[cnn ngwea...]
 

Vichwa tupo vilikuwepo humu kwenye hii ngoma...muziki kabla haujaanza kuwa uhasama.
Ngwair,Jide,FA..
YNWA
 
Nakumbuka nyimbo yke ya Dk 1 ilinipatia mtoto mkali niliburn cd nikampa dem akasikilize imejirudia mara 10 hyo hyo dk 1...kesho dem akaja Magetoni
Kilichofata ni [emoji418] [emoji418] [emoji418] [emoji418] tu
 
#Maskini wenzangu:
* Wachache ndio wanaishi, wengi wetu maEscort

Twiga wanapanda pipa hata bila ya passports

Mikoa mingi bado haina hata airports

Zaidi ya migodini madini kuyaExport.

* Bila ya wazawa kufaidika

Ndio maana waZanzibara wamechoka kutanga na Tanga na Nyika

Big up Mandela leo South sio Afrika

Waliotangulia kupata Uhuru bado wanapigika

Bidhaa zilizoExpire hutubambika

Meli zinazidi zama wengi Daily tunawazika


Wenye hali duni ndio tunaoathirika

Wao maBig Sound Special Order, uhakika.

* Tutalia machozi ya damu mpaka yatafumba ardi

Na tutaogelea wenyewe na watu hawatojali

Lete mgomo baridi uijue Serikali

Then umuulize Ulimboka umuhimu wa Madaktari.

* Viongozi wa siasa kama viongozi wa dini

Mengi wanaongea 'coz silaha yao ni ulimi

Mh. Spika, Tanzania, Uhuru inazidi zeeka, tayari ni miaka hamsini.

* Mengi mmetuahidi pia ahadi ni deni

Pia tunatambua umuhimu wa UN

Kupinga HIV, Umasikini na Rushwa, and

Mabilioni yanayotumika kwa Campaign

* Kama zakupinga unyanyasaji wa watoto

Zisiishie kwenye Promo na kuwalisha bado ndoto

* Issue sio kutupiana maneno bungeni

Bali watoto watoke mtaani, warudi shuleni

Mkulima shambani anahitaji usafiri wa treni

Nyie piteni angani, mazao yake muuzieni

* Mpeni bei nzuri, hawezi mudu zaidi ya trekta

Ni mawazo tu DIK usione na kuTETA.

'MASIKINI WENZANGU'

* TANU ilifanya kazi kubwa sixty one

Solution sio rada, Nchi kuichukuwa upinzani

Bali Mtanzania wa chini anaishi maisha gani

Watu wanakufa kwa njaa, iweje tujivunie amani

* Mengi tu mazuri yamefanyika mpaka sasa, ila naamani bado tungekuwa mbali

* Hivi Babu wa Loliondo nayo inawezekana tu ilikuwa ni siasa, NO!, Lakini iko wapi kaburi ya Balali

* Men, jibu unalo so usiulize swali

Unadini ! Mkristo sali na Muislam swali

'coz

* Bado tunaishi ki Mungu Mungu


Kwenye M weka Z usikie kizunguzungu

* Jinsi Ukoloni unavyofanya Mambo mpaka leo

Kuongoza jamii sio kumtawala mkeo

* Najiuliza maisha yangekuaje bila muziki

Hivi mtaani ingekuwa vipi !?

INGEKUWA MZIIIKI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…