Wana chamber mnaona muda shaa unayoyoma
Ngwair alikuwa talented levo nyingine kabisa
Katika siku nilizowah kuwaza ujinga ni siku aliyokufa
Niliwaza Kwa nini M2tha P ndo asingeenda ? (bro M2P utanisamehe kama utaona hii comment
Mwaka 2015 M2the P akatumia siku ya kumbukumbu ya Ngwair kuachia kibao chake, nilihairisha kila kitu ili nimsikie, nikaona anaimba umbufi tu nyimbo ya bata bata, Nikajisemea moyon lait kama Israel Mtoa roho angekosea hesabu siku ile then leo (hyo siku) Ngwair ndo awe anahojiwa kwa mara ya kwanza tangu ampoteze mchiz wake na tangu anusurike na mauti, Ukute Kuna Bonge la Ngoma lingetambulishwa leo,
Matokeo yake ni huu uchafu nao usikiliza
Ila kwenye Bwii M2the P ulijitahid kias