Albert Mangwea (Special Thread)

Kwani rc tulimsaidia wote ama alisaidiwa na kaka mkuu? Huu ujumbe ni wa kaka mkuu. Haendi kwenye misiba ya maprofesa anaenda kumzika kanumba. Kwanza sijui kwa nini hakwenda kumzika ngwear


Alikuwa kwenye "kutembeza bakuli" Japan....
 

Unavyoongea kwa kebehi na majivuno ni kana kwamba mwenzetu umeshajihakikishia kwamba utaingia peponi na tayari ulishamhukumu Marehemu kwamba yeye ni wa motoni. Hata kama marehemu alikuwa anatumia unga, je hakuna watu wasio tumia unga na wana dhambi nyingi na kubwa kuliko marehemu?

Nimesikitishwa sana na posts zako za leo.
 
Mjuni Lwambo hivi wafikiri kunatakiwa tubembelezane kwenye kuonyana?? binafsi huwa naamini kuonya kwahitaji ukali na ni heri kuonyana kuliko kupongezana. Mwana Mtoka Pabaya hajasema kwamba yy ataenda peponi lkn ameonya hakuna haja ya sisi kubembelezana hata kwenye makosa yetu. ingekuwa huyu Ngwea alijirekebisha na kuwa kijana bora basi leo hii tungemsifia sana lkn pamoja na maangazo na mafundisho yote still alikaid je wataka leo hii yasisemwe wazi kwaajili ya kuwasaidia wengine??
 
Last edited by a moderator:

Labda ninaweza kuhisi kitu,

Kuna wauaji, magaidi na waovu wa kutisha washawahi kupoteza maisha, lakini watu hawakutukana wala kuonyesha jaziba na hasira kali kwa marehemu aliyekwisha kuaga dunia.

Inawezekana ulikuwa na chuki binafsi na Marehemu, sasa naomba nikushauri;
Kumtukana tu hakuwezi kumaliza hasira zako, maana umesema alijiona yuko juu sijui na nini na nini,
Chukua mapanga na mishale nenda kakatekate kaburi lake, kutukana tu mtandaoni haisaidii.
 
Wananchi wa nchi hii wanachekesha sana!!! Wale ma-injinia wanaokufa kazini wakijenga maghorofa hawavumi kama kifo cha msanii tena cha kujiua mwenyewe na maulevi yake. Where are we Tanzanians????
 
Mkuu, huwezi kumuonya marehemu, wote tu wadhambi, mwenzetu akitutoka tumwombee kwa Muumba asamehewe madhambi yake

Nakuomba pitia tena posts za jamaa, anaandika kwa jazba, ukali na la kusikitisha zaidi anamtukana matusi marehemu, huu sio ustaarabu hata kidogo, kwani yeye ni mwema mno kiasi cha kutukana hivyo?, nimeshawishika alikuwa na chuki binafsi na marehemu, kuna post yake moja amesema marehemu alijiona yuko juu, uthibitisho wa chuki binafsi.
 
Mwana Mtoka Pabaya, unajua marehemu aliendekeza starehe mjini akawa amemtelekeza mwanae dodoma? Uliona mtoto alivyokuwa pale mssibani yani hata mavazi na muonekano alionesha ni mtoto aliyekuwa anaishi maisha ya chini. Wakati huo baba anatanua mjini kwa pombe, mikasi na cock tail (unga........kwenye kampani ya marehemu walikuwa wanaita unga cock tail). Hata kumtambulisha kwa mama yake mzazi alishindwa? katika maisha alishapata akaamua kuzimalizia kwenye kampani na mademu....kweli anastahili sifa huyu? tujifunze kupitia maakosa ya wenzetu ili sisi tusije rudia.

Kuhusu maisha yake ya kiroho ni kweli kwa nje tu hayakuwa ya kuigwa ila hatujui dakika yake ya mwisho aliongea nini na Mungu wake, neema ya kristo ni ya ajabu dakika unayodhani haiwezekani kwa Mungu inawezekana. Kama mwizi aliponea msabani sembuse wengineo.

All in all tunajifunza katika kila kitu, iwe kifo au uzima.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: mzm
mnao msifia Ngwair wote ni wafiki tuu!!Nngwair na yule r,rafik yake M2THEP ni mateja!!!!sasa wanacfiwa kwa lip? kama ciunafikihuo?
 
Luke 6:37, don't judge and you will not be judged, only god can judge him.
 
Kweli umepolomoka tena kivyote kiakiri hatari kiafya mana naamini utakua na mtindio wa ubongo ambao unasababisha kusema mambo bila kufikiri
 
kwa maoni yangu mi nilitaka maiti yake ichapwe viboko ili liwefundisho kwa mateja ote na wanao taka kuingia ktk mkumbo huo, binafsi hakuna jema nililo jifunza kwake kamakweli alikufa kwa madawa.
Acha kiburi, hivi mama Yako Akifa kwa ukimwi utaichapa bakora maiti yake kwa kua ni muasherati?
 
Wananchi wa nchi hii wanachekesha sana!!! Wale ma-injinia wanaokufa kazini wakijenga maghorofa hawavumi kama kifo cha msanii tena cha kujiua mwenyewe na maulevi yake. Where are we Tanzanians????
ndugu umenena vema -kwa ufupi hatuhitaji na hatuna muda na wenye juhudi na maarifa- hakika safar yetu ndefu
 

actually, anapumzika! Siku ama kipindi cha ku-pay for our sins bado... For now everybody who dies Rest in Peace! and no one wil ever going to heaven by the way!
 

Mapokezi na mazishi waliyomfanyia ni kama shujaa kitu ambacho SI KWELI. Utafikiri amekufa akiwa vitani anatetea tanzania!!! Huu ni upuuzi! Nyimbo zake (na wasanii wengine wa bongo flavor) hazina tija wala umuhimu kwa wadogo zetu. Zaidi nyimbo zinachochea uzinifu, ulevi wa pombe, kuvaa heleni kama mashoga, suluali kata K, na uchafu woote wa ku angamiza jamii na utamaduni wetu. Huu mtindo wa wasanii uch.wara kujifanya ma supa staa na kupelekana Viwanja vya Leaders pindi wanapokufa itabidi ukome. Kuna watu muhimu sana katika maendeleo ya taifa hili wanaostahili kupewa heshima zaidi pindi wanapokufa, sio hawa wasa.nii
 
Luke 6:37, don't judge and you will not be judged, only god can judge him.

Biblia ni moja lakini inasomwa na watu tofauti,wenye uelewa tofauti hivo uwezekano wa tafasiri tofauti...
Tunasubiri aliye mkamilifu aje kutuonya kwenye mambo yetu ya kipuuzi,kijinga na kipumbavu tunayofanya? Watoto wenu mnawaleaje ikiwa hamwezi kuwanyoshea kidole wanapokengeuka!...
Leo mtoto wako akikuuliza umpe sifa za marehemu kwa sababu unaogopa kuhukumu..utamwambia mtoto marehemu alikuwa pastor na alienenda katika njia ipasayo? No wonder we are a rotten society sababu tunakwepa wajibu wetu ulio wa mhimu na wa lazima kuufanya.
 
kwa maoni yangu mi nilitaka maiti yake ichapw viboko ili liwefundisho kwa mateja ote na wanao taka kuingia ktk mkumbo huo, binafsi hakuna jema nililo jifunza kwake kamakweli alikufa kwa madawa.

Alikuwa Japan na Singapore ndo maana hakuweza kuhudhuria ila amekosa picha na "masupasta" wa bongo movies na music
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…