Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifafanulie kidogo mkuu kuhusu Mac Regan na Endeleaaa120 kwenye kona Shaaaaa!!! Hata nikifa leo pengo langu halina spare so nageuka mac regan nawaambia "ENDELEAAAA".
Hapa watoto wadogo hawamjui hata Mac Regan ni nani na Endelea ni nini 😀😀😀.
Sahahi mkuuMarehemu alikua akariri freestyle yeye anachana kuendana na tukio analoliona mbele. Chidi benzi ni mkali haswa japo na uropokaji wake alisema Ngwair sio mtu wa kawaida hapa Tanzania. Chid benz alisema namshinda kukaa chini kuandika mistari, ila kuchana jamaa hana mpinzani, unaweza ukamwacha maskani asubuhi anachana wewe ukaenda dodoma ukarudi jioni ukamkuta anendelea kuchana bila kurudiarudia yoo yo yo yo. Mungu ampunzishe Ngwair.