Albert Mangwea (Special Thread)

Albert Mangwea (Special Thread)

'... Hey dark máster nitembezee chata kisha nipe kipaza nihubiri kama pastor, ndani ya Gheto ni mengi yametukuta ila bado másela tunakomaa kutafuta,
Bado tunazisaka hata kwenye vichaka, mtafutaji hachoki na akichoka ndo ameshapata...' ( verse za Ngwea)
Juma Nature ft Ngwea and KR- Msela

Cowbiz Cowbama, Mkali wa freestyle nambari 1 Tz nzima hakunaga, akifuatia Chid kisha 3 ni King Zilla rip

Miaka 7 sasa bado twakukumbuka Mkali wetu,, Mungu akupe pumziko la amani
 
1.She got gwan
2.Tunakesha kama Cnn
3.Speed 120
4.A.k.a Mimi
 
Nipeni Deal Masela ft Darkmaster

Usishangae tunashindia komoni, tunapenda mawine mabaga lakini ndo vile hatuna mahela!!

Wimbo una ukweli halisi wa maisha tunayoishi!!
 
Hivi yule jamaa anaeendeeha kipindi kipya Cha malejendari clouds ninani maana kumbe Ni wa kitambo Sana nimeona hata ngwair kapiga nae shooting who is that dude.
 
AKA mimi
Hii ya marudio ila iko poa ndani ya klabu
Mikasi
She get a gwan
Dakika moja tu
Nipeni dili
Daah nakumbuka tweet ya mwisho nilimtumia mchana kesho yake ndio nasikia msela kavuta.. daah
R.I.P Ngwear
 
JamiiForums1100220085.jpg
 
Back
Top Bottom