Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule asiye na dhambi kabisa na awe wa kwanza kurusha jiwe.
Yule asiye na dhambi kabisa na awe wa kwanza kurusha jiwe.
Tunasubiri aliye mkamilifu aje kutuonya kwenye mambo yetu ya kipuuzi,kijinga na kipumbavu tunayofanya? Watoto wenu mnawaleaje ikiwa hamwezi kuwanyoshea kidole wanapokengeuka!...
Leo mtoto wako akikuuliza umpe sifa za marehemu kwa sababu unaogopa kuhukumu..utamwambia mtoto marehemu alikuwa pastor na alienenda katika njia ipasayo? No wonder we are the rotten society already sababu tunakwepa wajibu wetu ulio wa mhimu na wa lazima kuufanya.
Hii tabia ya kuwa mna msifia mtu anapo kufa tuiache MANGWEA hakuwa mtu mzuri ninaimani watu alio washawishi kuingia kwenyekundi la kutumia madawa ni wengi sana, kama tulikuwa tunampenda kwa kiasi hiki, mbona tulimuacha na hakusaidiwa kama RC?,
Acha kukurupuka soma uelewe nilimaanisha nini.
hata ww mm cjui mazuri yako hata moja,mazuri ya ngwear wanayajua wanafamilia na watu aliowaiwasaidia kwangu burudani toka kwako ndicho furaha yangu sasa kama unataka kujua mazuri yake hebu tafuta wasanii wenzie na wanafamilia pia,kwa mm heri ya ngwear kuliko wewe
nafikiri hizi kelele zinazopigwa kuhusiana na kifo cha marehemu zingeelekezwa kwa mabosi wanaofanya biashara ya madawa ya kulevya, sababu wao ndiyo source ya vijana kupotea.
Atakuwa anatamani kurudi huku.Huko alikoenda sidhani kama kuna mapumziko aisee.
Mapokezi na mazishi waliyomfanyia ni kama shujaa kitu ambacho SI KWELI. Utafikiri amekufa akiwa vitani anatetea tanzania!!! Huu ni upuuzi! Nyimbo zake (na wasanii wengine wa bongo flavor) hazina tija wala umuhimu kwa wadogo zetu. Zaidi nyimbo zinachochea uzinifu, ulevi wa pombe, kuvaa heleni kama mashoga, suluali kata K, na uchafu woote wa ku angamiza jamii na utamaduni wetu. Huu mtindo wa wasanii uch.wara kujifanya ma supa staa na kupelekana Viwanja vya Leaders pindi wanapokufa itabidi ukome. Kuna watu muhimu sana katika maendeleo ya taifa hili wanaostahili kupewa heshima zaidi pindi wanapokufa, sio hawa wasa.nii
Hii tabia ya kuwa mna msifia mtu anapo kufa tuiache MANGWEA hakuwa mtu mzuri ninaimani watu alio washawishi kuingia kwenyekundi la kutumia madawa ni wengi sana, kama tulikuwa tunampenda kwa kiasi hiki, mbona tulimuacha na hakusaidiwa kama RC?,
Huo wajibu tunasubiri mtu afe ndio tuufanye?
Ninachokipinga mimi ni lugha za matusi kwa marehemu, kwa nini hamkupaaza sauti zetu kipindi yuko hai?
Mlisubiri afe ndio mtukane?, eti alijiona yuko juu, ndio nini hicho?
Mngekuja na mapendekezo ni namuna gani tufanye kuwasaidia ndugu zetu wanaotumia madawa, hapo ningewaelewa.
Sikatai kuusema ukweli wa kilichosababisha kifo cha marehemu ili na wengine wajifunze, lakini sio kwa njia ya matusi na kebehi
Kukaa tu na kungojea mtu afe ndio upate nafasi na kumkejeli na kutukana eti mpumbavu kafa na maneno mengi yasiyopendeza sio ustaarabu hata kidogo.
Mimi ni mshaur nasaha wa kujitolea, weka wazi huyo pichani ni nani niweze kumsaidia kabla mambo hayajaharibika!