Mmh njaa mbaya jamani angebaki tu huko huko si ana ajira ya sheria pia
Mtu akitoka upinzani kwenda CCM anakuwa na njaa au kanunuliwa ila mtu akitoka ccm kwenda upinzani hasahasa chadema anaitwa shujaa na kamanda mpiganaji....hizi ni siasa za maji taka
NCCR MageuziAlianza kuhama CHADEMA then ACT WAZALENDO NA SASA CCM JE AKITOKA ATAKWENDA WAPI?
Ukitembea na malaya wachafu nuksi lazma zikuandame,giggy kampa papa plus gundu suguAnataka asibugudhiwe kwenye biashara
Hivi mwenyekiti hajawachamba, make huwa anapokea wageni kwa vichambo, "Ng'ombe waliokatika mikia"
Ha ha ha gigy msandoUkitembea na malaya wachafu nuksi lazma zikuandame,giggy kampa papa plus gundu sugu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haswaaahiyo sura sio ngeni,huyu si ndio mparamia Malaya na kuwashika mbunye?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha ha ha gigy msando
Ha ha ha gigy msando
Conclusion yako inaonyesha uwezo mdogo wa kuchambua mambo. Kwani hujui fedha iko CCM.Mtu akitoka upinzani kwenda CCM anakuwa na njaa au kanunuliwa ila mtu akitoka ccm kwenda upinzani hasahasa chadema anaitwa shujaa na kamanda mpiganaji....hizi ni siasa za maji taka